Chukua bigbomu toto nzuri ukaleee....na baadae tutaenda kula chipusi...
[emoji3][emoji3][emoji3]
Sikiliza kwa makini lile tangazo. Ni miaka 5 imepita ila ile familia haijampata huyo mtoto. Mbona unawatonesha donda ndugu??Wakuu habari zenu!
Mkuje wanaume wote humu tuelezane ni jinsi gani? Yule dada ile ongea yake na kujumlisha deko lile kwa yule bwana mimi kwangu huku hoi.
Ukipata mtoto sampuli ile kwanini usiwahi kutoka kazini chap, unawahi kuoga fasta huyo upo mezani, ukimaliza nduki kwa bedroom kifuatacho ni mtoto kupatikana mapema 😁😁natania tu
Sio lazima....Hivi sio kila uzi lazima niuelewe?
Kamlinzi hako...
Rushwa inaanzaga hivi hivi na baadaye litoto linakua likija kupata madaraka fulu fosi linakuwa lifisadi Joka Makengeza cha mtoto halafu tunajifanya kushangaa [emoji16][emoji16][emoji16]