Haijalishi ni msomi au siyo,awe shehe au mchungaji,tajiri au masikini,mkatikumeni au mlokole!![emoji16][emoji16]haijalishi kabisa.
Ni lazima anaangukia hapa
A_Ushirikina,mahirizi na matunguli au vitu kama hivyo.
B_Uzinzi,yaani mke/mume mmoja ni marufuku.
Hata akijitahidi vipi.
Habari ndiyo hiyo wakuu.