Huyu mtu ni chizi,hata sijashangaa kuhusishwa kwake na tukio hilo,niliwahi kumuona kwenye show ya Fiesta(Aliyokuja Rickross) alipanda kumsapoti Roma,mambo aliyokuwa anayafanya jukwaani nilijua tu jamaa akili yake sio nzuri.Ila hongera bwana kwa kuzibua mtaro wa majitaka.....
View attachment 103683
Only in bongo...hivi mtu anaweza kujitapa kabaka na polisi wakaacha kufanya uchunguzi???huku first world hio ni issue kubwa sana na sio ya kujitangaza kihivyo!!!
​Nimekupata mkuu...usemayo ni ya kweli ..hakuna polisi bongo!polisi gani ambao unaowaonelea ??
polisi wetu wa KIAFRIKA wenye akili kama hizi?
alikuwa anafanyaje??
Alichokuwa anachokifanya jukwaani hata hakieleweki,anajichezesha chezesha tu kama mwehu jukwaani,then alikuwa anakapelo na tshirt mkononi,kipindi Roma anaendelea kuperform ye yuko bize na kuzuga watu kama anawarushia mashabiki tshirt,yaani akawa anasababisha tunashindwa kuconcerntrate kwenye show ya Roma tunaangalia utoto anaoufanya,mi sikujua kama ni msanii nilijua Roma amemchukua tu muhuni palepale ampe tafu,hee si ndo nikaambiwa eti naye msanii
ila story za chini ya kapeti zinasema kuwa eti ni BU NAKO NA FI-DO
ila story za chini ya kapeti zinasema kuwa eti ni BU NAKO NA FI-DO
lina amekanusha ku bakwa na anshangaa maneno haya yametoka wapi!anadai ana siku kadhaa hajatoka ndani wala haelewi hayo maneno mashiko yake ni nini!
Source............yeye mwenyewe!
Lina amekanusha ku bakwa na anshangaa maneno haya yametoka wapi!anadai ana siku kadhaa hajatoka ndani wala haelewi hayo maneno mashiko yake ni nini!
source............yeye mwenyewe!
mkuu,we unadhani atakubali.?
Mskilize katka maelezo yake mara aseme hajatoka nje kwa siku 3,mara aseme jana usiku ametoka na mpenz wake kwenda cinema,mara ameenda club haeleweki.?
hata ungekuwa wewe ungekanusha. Ulitegemea akubali hata kama ni kweli? Atamuuzia nani sasa akikubali kuwa alibakwa?