kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Awana chao walishindwa kushinda mechi zao muhimu wanakuja kubahatisha na kutoa macho mwishoni eti mfungaji bora, kikanuni mayele ndiye mfungaji bora ana magoli ya penalty mwenzake hana na case closed!Inaumiza maana kombe lililokuwa limebakia ni kiatu cha mfungaji bora. Nacho tunatoka patupu, kuna namna kama kuna kalaana simba tujikague. Tuache siasa mpira lasivyo wataendelea kutuita mambumbumbu kila msimu, inaumiza sana hamna hata faida ya kushiriki ligi na michuano mbalimbali kama hali ni hii
Simba guvu moya
Mikosi unayo wewe na gongowazi wenzako mliotoa mchezaji kwa ubwabwa wa ikuluInaumiza maana kombe lililokuwa limebakia ni kiatu cha mfungaji bora. Nacho tunatoka patupu, kuna namna kama kuna kalaana simba tujikague. Tuache siasa mpira lasivyo wataendelea kutuita mambumbumbu kila msimu, inaumiza sana hamna hata faida ya kushiriki ligi na michuano mbalimbali kama hali ni hii
Simba guvu moya
Nendeni mkashitaki FIFA sasaInaumiza maana kombe lililokuwa limebakia ni kiatu cha mfungaji bora. Nacho tunatoka patupu, kuna namna kama kuna kalaana simba tujikague. Tuache siasa mpira lasivyo wataendelea kutuita mambumbumbu kila msimu, inaumiza sana hamna hata faida ya kushiriki ligi na michuano mbalimbali kama hali ni hii
Simba guvu moya
Sio Medali - MedaniView attachment 2651808
MEDALI zimefungwa na lock za mabegi ya watoto wa shule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2223]
Sio Medali - Medani
usijali makosa ya kiufundi hata mimi nakosea mkuu utanirekebisha siku mojaUnafaa kuwa mwalimu wangu nije pm unifundishe [emoji41][emoji41]
usijali makosa ya kiufundi hata mimi nakosea mkuu utanirekebisha siku moja
Sema wewe semaji kuu la Makolokolo [emoji2]Wewe mji wa kale gongowazi unahangaika