SOMA neno la Mungu katika bilia utapata msaada wa kweli.
Soma kitabu cha Warumi.
Naweka kitabu hicho hapa ili uweze kukisoma.
....khaa, babuu si ungeweka mistari miwili mitatu tu... yaani nime scroll mpaka...! ... na wanazuoni wakija hapa kumwaga aya zao, au ma buddha na ma sikh wakija na vitabu vyao patatosha kweli?
Ngoja nikatambike madogoli mie, tawire tawire...
....khaa, babuu si ungeweka mistari miwili mitatu tu... yaani nime scroll mpaka...! ... na wanazuoni wakija hapa kumwaga aya zao, au ma buddha na ma sikh wakija na vitabu vyao patatosha kweli?
Ngoja nikatambike madogoli mie, tawire tawire...
Jamaa aachane na mamamkwe! Si vizuri kutembea na mzazi wa mwenzake hata kama anampenda namna gani na ana uzuri wa malaika wa paradisini. Si utu wala maadili mema. Huyo mama kagengeuka.
Amwache hata akimwambia mtoto wake (mkeo). Ni bora igundulike kwamba katembea na shemejiye. Ina nafuuu. Si aibu ya kutisha. Ataweza kuyamaliza na mkewe kwa mazungumzo na kumwomba msamaha. Lakini akitembea na mamamkwe na kesho mkewe akaja kujua. Itakuwa mbaya sana. Ngumu kusameheka. Itamwumiza sana mkewe. Kumbe ni aheri achague "the lesser evil". Kazi kwake!
Kwa kweli si rahisi kusoma kitabu hiki kwenye kompyuta. Ilitakiwa utoe mistari michache inayoendana na mada hii. Hebu tuachane na hilo.SOMA neno la Mungu katika bilia utapata msaada wa kweli.
Soma kitabu cha Warumi.
Naweka kitabu hicho hapa ili uweze kukisoma.
sio zile story za IT specialist SHY?
Inategemea huyo mama mkwe yukoje jee anatizamika?pili vipi yupo kwenye Ndowa?
Msaidieni Jamaa yangu huyu, aliponiomba ushauri nilimwambia anipe mwezi mmoja nifikirie:
Jamaa yangu anaitwa Sam(si jina la kweli) ni kijana mwenye mafanikio kimaisha,anafanya kazi katika kampuni moja ya mafuta hapa Tanzania. Ameoa na ana watoto wawili wemye miaka 5&2. Mwaka jana alikuja kutembelewa na shemeji yake ambaye ni mdogo wa kuzaliwa na mkewe. Binti huyo mwenye umri wa miaka 22 alikuja kupumzika huku akitafuta nafasi ya chuo kikuu dar baada ya kumaliza masomo yake ya kidato cha sita huko nyumbani kwao Tanga. Wakati fulani nyumbani kwao mkewe walipata matatizo yaliyo lazimisha mkewe kurudi nyimbani kwa wiki mbili, kipindi hiki jamaa yangu anasema shetani au ibilisi alitembelea nyumba yake na yeye na shemeji yake wakaanza mahusiano yasiyofaa. Baada ya wiki mbili mkewe alirudi na mama yake wakati huo jamaa yangu na shemejiye uhondo umewanogea. Siku moja usiku jamaa alichomoka chumbani na kukutana na shemeji yake sebuleni wakiwa katika hali mahaba mama mkwe akawaona kwa bahati mbaya hakupiga kelele wala kuwasemesha.Asubuhi yeye na mwanawe mdogo yaani yule shemeji wakaaga huku mkewe akishangaa kwa ughafla wa safari. Mamamkwe hakuthubutu kusema kwa mtoto wake kisa kilicho waondoa. Hata baada ya miezi mitatu yule binti alirudi kusoma chuo UDSM jamaa yangu alimfuata kumuuliza kilichotokea lakini yule binti kagoma hata kumuangalia na hajawahi hata kuisikia sauti yake, kifupi jamaa kabakia gizani. Hivi karibuni mama mkwe alikuja kuwa tembelea na wakati huohuo mama yake mzazi na jamaa yangu akapata maradhi kalazwa nyumbani kwao hukohuko Tanga.Kwa maana hiyo nyumbani amebakia jamaa yangu na watoto pamoja na mama mkwe. Sasa kasheshe mama mkwe anamkomalia jamaa ampe naye vitu na akikataa anamueleza mkewe kilichotokea usiku ule. Jamaa amekwisha tubu mara kadhaa na hataki kabisa kuchezea ndoa yake kwani anampenda mkewe sana. Ila mama mkwe yupo determined kabisa na mara kadhaa amekwisha mfuata bafuni uchi...Ushauri please!!!!
... Ni bora igundulike kwamba katembea na shemejiye. Ina nafuuu. Si aibu ya kutisha.
Ataweza kuyamaliza na mkewe kwa mazungumzo na kumwomba msamaha.
Uko serious kabisa unaomba ushauri au unatania? There must be something wrong with you!
Mpe machine tu hata tiGo mjiexpress tu, dunia yenyewe imekwisha hii!
Ushauri wangu ni kwa bwana Sam kutafuta wakati na mahala mafaka kuongea na mkewe kuhusu kadhia hii nzima ili kupata msimamo wa pamoja. Lakini kwanza ni lazima amuombe radhi mkewe kwa yeye kusababisha hii tafrani (kutembea na shemeji yake). Wakishakubaliana na mkewe, huyo mama mkwe hata kuwa tena na 'object' ya kuitumia kum blackmail na hivyo ndoa hiyo itabaki salama na haitakuwa chukizo kwa Mungu.