Mhhhh mchumba au gf au demu na wewe???
Sasa kama wewe mwenyewe huna hakika kama unampenda ama vp c tukusaidiaj???
Na kama ni mchumba mpk sasa hujielew pole yake???
duuu umeniandama ndugu yangu au hujaipenda post yangu?????????? but don't mind kama nime kukwaza forgive me!!!! kuhusu my post nip serous about ranks isikuumize kichwa sana bado sijapata full experience in this JMF BUT AS TIME GO NITA IMPROVE
oyaaa mazeee na mchumba wangu ila sijui kama nampenda b'se nikikaa huwa some times namuona waukweli tena nikikaa some times namuuona wakiuwongo kama nime ingia choo cha kike vile nifanyeje sasa hii issue inanisumbua sana kichwa changu waungwana hebu naombeni msaada wenu wakimawazo zaidi>>>>>>>
oyaaa mazeee na mchumba wangu ila sijui kama nampenda b'se nikikaa huwa some times namuona waukweli tena nikikaa some times namuuona wakiuwongo kama nime ingia choo cha kike vile nifanyeje sasa hii issue inanisumbua sana kichwa changu waungwana hebu naombeni msaada wenu wakimawazo zaidi>>>>>>>