Na mim natafuta mukazi wange SERIOUS….

Bora kwanza ulivoamka,

Unajua, usingekuwa Mwandishi, nisingehangakia kutaka kuona vinavoonekana na visivyoonekana, sasa hebu niambie nimeangalia sana Annina?

Asante Kaizer, unajua mambo mengine huwa yanatokea ili neno litimie... naona sasa yametimia! Usihofu, hujaenda mbali sana...

Annina
 

Hapa napo mmmh, kuna tangazo fulani liliwahi kutolewa hapa kuwa wenye kutafuta wachumba wanaweza kuchungulia www.wabongomeet.blogspot.com Labda mkuu ungejaribu kule pia uone bahati yako iko wapi.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…