Na mim natafuta mukazi wange SERIOUS….

Mamitonakuheshm sana plz jamaa moyo wake umedongokea kwangu wengine wa nn
Hahaha all the best watu mmeamua ..
lakini wewe Akili Kichwani mbona wadada zaidi ya watatu au wanne wanatafuta partiners hapa JF na post zipo tayari kwa nini usingeanzia hapo?
 
Hawa wanatuzuga sisi wanaume wametundika maombi lakini hawajibu PM sijui wanatishia?

Binamu kumbe na wewe huwa unatupa ndoana unakaukiwa ehehehee inawezekena ni wanaume wameweka majina ya kike ..Pole!!
 
Mamitonakuheshm sana plz jamaa moyo wake umedongokea kwangu wengine wa nn

Samahani mamaa Pearl am not sure kama uko serious lakini ..pls confirm ...🙂
JS aanze michango yake
 
Hehehehehe.hapa hakuna kitu.stuka Pearl.
 
Hahaha all the best watu mmeamua ..
lakini wewe Akili Kichwani mbona wadada zaidi ya watatu au wanne wanatafuta partiners hapa JF na post zipo tayari kwa nini usingeanzia hapo?

mengine madume mama...............tayari nimeishawascreen wote............... after all .................. niko na pearl till death do us part............................
 
Binamu kumbe na wewe huwa unatupa ndoana unakaukiwa ehehehee inawezekena ni wanaume wameweka majina ya kike ..Pole!!

Ahsante si unajua mwanaume huwa anajaribu jaribu kutupa ndoano penye njia
 
eeeeeeeeeh till death bana
mengine madume mama...............tayari nimeishawascreen wote............... after all .................. niko na pearl till death do us part............................
 
Samahani mamaa Pearl am not sure kama uko serious lakini ..pls confirm ...🙂
JS aanze michango yake

JS mwnywe yuko interested, hatumshirikishi huyo............. atatuharibia kwa wivu wake....................
 
eeeeh mbn fitna nyingi sana?jamani yani nimeshakuwa mchuna ng'ozi?SWTY HAWAJUI TULIPOTOKA ACHANA NA MANENO YAO
Huyo Pearl mwenyewe amekaa kichunaji mno asipo angalia AK atachunwa mpaka akome.
 
eeeeh mbn fitna nyingi sana?jamani yani nimeshakuwa mchuna ng'ozi?SWTY HAWAJUI TULIPOTOKA ACHANA NA MANENO YAO

we jifanyi kama huwaoni...................... ie sirudi nyuma.................. usisahau till death do us part.............. eeeh, sawa????????????//// halafu baelezeeeee........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…