Wafugaji wa kuku nadhani mtakubaliana na mimi,Jogoo anaefugwa na kupewa chakula chenye Afya na maadili na nidhamu ya hali yajuu huwa anaamsha(Anawika) Usiku mara Mbili Tu na si zaidi ya Hapo yaani namaanisha Saa9 na 11Asbh Tu!! Unajua kwa nini? Sababu moja inajulikana na wengi Sitaitaja mnaijua ndio Ila hii ya saa Tisa tunaijua Wanandoa Tu kama unabisha Angalia sehemu ambapo watu hawajao Au wanaishi Single Tupu Kama utasikia jogoo anawika mida ya saa9usiku(Ili iweje sasa).Najua kuna watu watabisha kwa kuwa hajaandika Mzungu ugunduzi huu....Nimeandika mimi No Escape. Usiku mwema