sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Mimi sifi leo nmeianza mwezi mpya vibaya jaman, yaani leo Asubuhi naamka tu nakuta ujumbe kwenye simu yangu ukisema:
KUANZIA LEO siruhusiwi kukanyaga Kariakoo Shimoni kwa sababu zifuatazo!
- Kwanza sijui kuvuka barabara za lami
- Pili, uchafu wangu wa kutokufua na kuoga naweza leta kunguni wa Chato kuwaleta mjini.
- Tatu sjui Kishwahili vizuri kila nikiongea mimi nakandiza sana.
Nne na nyingine nimesahau ila sasa najiuliza mimi tangu nimezaliwa sijawahi kufika Kariakoo na wala sipajui na sina Limpango la kwendaga huko Kariakoogi sasa kwanini nazuiliwa?
Ujumbe umfikie Makonda ausome na autafakari.
Sent using Jamii Forums mobile app
KUANZIA LEO siruhusiwi kukanyaga Kariakoo Shimoni kwa sababu zifuatazo!
- Kwanza sijui kuvuka barabara za lami
- Pili, uchafu wangu wa kutokufua na kuoga naweza leta kunguni wa Chato kuwaleta mjini.
- Tatu sjui Kishwahili vizuri kila nikiongea mimi nakandiza sana.
Nne na nyingine nimesahau ila sasa najiuliza mimi tangu nimezaliwa sijawahi kufika Kariakoo na wala sipajui na sina Limpango la kwendaga huko Kariakoogi sasa kwanini nazuiliwa?
Ujumbe umfikie Makonda ausome na autafakari.
Sent using Jamii Forums mobile app