Na mimi natafuta mchumba

Naona Uzi ushaingiwa virus nimeshamind,.
..let me mind my own business ...
Kuna watu wanajifanya wajuaji kama wametumwa,... Wivu tu, aya umemwaga mboga bwana SHAMAC we mjuaji bana best of luck
.
 
Naona Uzi ushaingiwa virus nimeshamind,.
..let me mind my own business ...
Kuna watu wanajifanya wajuaji kama wametumwa,... Wivu tu, aya umemwaga mboga bwana SHAMAC we mjuaji bana best of luck
.
Hutakiwi ku-mind young fella! You need a piece of advice from a father-figure like one!
 
Dah....maneno mengiii....unaacha vya muhimu..... Mwanaume mashine bana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Sent from my beretta ARX 160 using JamiiForums Mobile App
 
Hujui kutongoza? Humu kuna makinikia pia uwe makini shauri yako...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…