Na mimi nko huku

Na mimi nko huku

the boss13

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
422
Reaction score
215
wadau wa jf naomba mnipokee nimejiunga kwa ajili ya kushea different ideas na kuwa updated na mambo mengi,,,,, jf z the soln
Naomba kuwasilisha wana jamvi
 
wadau wa jf naomba mnipokee nimejiunga kwa ajili ya kushea different ideas na kuwa updated na mambo mengi,,,,, jf z the soln
Naomba kuwasilisha wana jamvi

unakaribishwa ila hiyo id yako naona inafafana na ya member humu ndani.
 
Karibu ila usianze kuchunguza makochi sijui ya zamani maea kabati lina mende mara siling boad imetoboka, fata yalio kuleta, sawaaa?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom