Kwa upande wangu, kiwanja ninanunua msimu wowote.
Ukituliza akili, hata kama ni kiangazi unaweza kufahamu eneo hatari.
Iwapo ardhi imenyanyuka na kuna makorongo, basi hapo mafuriko hakuna.
Tatizo watu wengi hupenda viwanja vya tambarare ili kuokoa gharama za ujenzi.