[emoji23] [emoji23] bora kama unalijua hiloHata hapa mnaweza badilisha gear angani mkaanza kunichambua.
Nishapoa mimiAhaaa, kumbe alikusaliti eee, polee
Nina mashaka sana na weweha ha ha mimi mume wa Shansarie bana
Nami kuna nini et mrembo!Kama wewe
Hivi ule uzi wa Mr Smart uliishiaga wapiYule Mr. Smart aliyewanyooshea koplo wengi wao
LegendaryIPI hiyo? Ya Malegendari au Mtongozano??
Sikumbuki hata... Watu walianza kutajana ghafla ukapotea kwenye feed yangu. Nadhani mods walideal naoHivi ule uzi wa Mr Smart uliishiaga wapi
MuuajiNami kuna nini et mrembo!
Rungu langu hailiuiiiiMuuaji
Haha niliona watu wanaongea kwa code nikaachana nao sijauona tenaSikumbuki hata... Watu walianza kutajana ghafla ukapotea kwenye feed yangu. Nadhani mods walideal nao
Watu wanajuana sana humu sometime huwezi ng'amua maongezi yaoHaha niliona watu wanaongea kwa code nikaachana nao sijauona tena
Nyuki wa mashineni?Rungu langu hailiuiiii
HahahaNakuleta Kung-Fu 4 za baridi..