Sawa mama NaveenNdio baba naveen
Nani sasa? Mimi au mo?Huyu huwa haachi...anasahau tu
Wataendelea kuwahubiria wenye dhambi zingineakiokoka huyu mzee wangu na Uzinzi duniani unaisha...
Sasa wachungaji, mashehe watafanya kazi gani?
Baby nisamehe tu kwakweli.vyote vya kuchezea hukuona mpaka ucheze na moyo wangu
kwanini hukuchezea hata mapu*bu yangu au hata game ya nyoka ??
Nimestuka kwakweli.Hahahahahahahahahahahah jamani Mo11
Marahabaaaa! Haujambo mtoto mzuri.Shkamoo
Unamuona alivyoanza na shikamoo?Abee mkwe.
Marahabaaaa! Haujambo mtoto mzuri.
Msalimie anko KaboomBaby nisamehe tu kwakweli.
Sijambo mimiMarahabaaaa! Haujambo mtoto mzuri.