Na nyie kwenu mnao watu kama hawa?

Na nyie kwenu mnao watu kama hawa?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Best kama hauna watu kama hawa kwenye ukoo wenu katoe sadaka ya LKUJIMALIZA asikwambie mtu,,,,,,yaani wachaga tunavumilia mengi sanaaaaa

Kuna magrp ya ukooo matajiri usiwaguse ati una ndugu yako mgonjwa aisee watakurudisha na vibokoooooooooo

Ila itokee yule mgonjwa kafaa best yaan hawaitaji hata kusema kiasi cha hela unasikia asbh kwenye whatsup

1.Ntatoa gari la kumpelekea marehemu na jeneza na maua

2.Mwingine ntatoa coaster 1 ama 2 kwenda na kurudi

4.Mwingine ntahudumia vyakula kule moshi mpaka shuhuli iishe

Hawa hawa wameona picha ya marehemu kwenye grp akiomba msaada wa fedha ama chochte kile aendelee kuishi wanarusha 15 000/20000 kufa uone aisee n basi tu maarehemu haoni kinachoendelea.....

Je, mnao watu wa aina hii kwenu..kama familia mmewasaidiaje na sisi wakae sawa waweze kujua kuchangia mtu akiwa hai....

Ubarikiwe
 
Best kama hauna watu kama hawa kwenye ukoo wenu katoe sadaka ya LKUJIMALIZA asikwambie mtu,,,,,,yaani wachaga tunavumilia mengi sanaaaaa

Kuna magrp ya ukooo matajiri usiwaguse ati una ndugu yako mgonjwa aisee watakurudisha na vibokoooooooooo

Ila itokee yule mgonjwa kafaa best yaan hawaitaji hata kusema kiasi cha hela unasikia asbh kwenye whatsup

1.Ntatoa gari la kumpelekea marehemu na jeneza na maua

2.Mwingine ntatoa coaster 1 ama 2 kwenda na kurudi

4.Mwingine ntahudumia vyakula kule moshi mpaka shuhuli iishe

Hawa hawa wameona picha ya marehemu kwenye grp akiomba msaada wa fedha ama chochte kile aendelee kuishi wanarusha 15 000/20000 kufa uone aisee n basi tu maarehemu haoni kinachoendelea.....

Je, mnao watu wa aina hii kwenu..kama familia mmewasaidiaje na sisi wakae sawa waweze kujua kuchangia mtu akiwa hai....

Ubarikiwe
Hiyo sio kwa wachaga tu, asilimia kubwa ya wabongo tunaona sifa sana kuchangia misiba kuliko kuchangia mgonjwa!. Na hata kwa mlevi uwe na shida ya aina gani, ukimuomba pesa atakwambia hana, ila pombe atakununulia hadi utambae. 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆
 
Best kama hauna watu kama hawa kwenye ukoo wenu katoe sadaka ya LKUJIMALIZA asikwambie mtu,,,,,,yaani wachaga tunavumilia mengi sanaaaaa

Kuna magrp ya ukooo matajiri usiwaguse ati una ndugu yako mgonjwa aisee watakurudisha na vibokoooooooooo

Ila itokee yule mgonjwa kafaa best yaan hawaitaji hata kusema kiasi cha hela unasikia asbh kwenye whatsup

1.Ntatoa gari la kumpelekea marehemu na jeneza na maua

2.Mwingine ntatoa coaster 1 ama 2 kwenda na kurudi

4.Mwingine ntahudumia vyakula kule moshi mpaka shuhuli iishe

Hawa hawa wameona picha ya marehemu kwenye grp akiomba msaada wa fedha ama chochte kile aendelee kuishi wanarusha 15 000/20000 kufa uone aisee n basi tu maarehemu haoni kinachoendelea.....

Je, mnao watu wa aina hii kwenu..kama familia mmewasaidiaje na sisi wakae sawa waweze kujua kuchangia mtu akiwa hai....

Ubarikiwe
Utamuwekea mgonjwa bajeti ya kiasi gani? Mliokaribu na kusimamia matibabu yake, muitishe mchango, zikitolewa hizo 15 na 20 elfu, kama hazijatosheleza mahitaji, ombeni mchango tena mpaka gharama ifikiwe.
Mtu akifa, inajulikana, hautaombwa msaada tena juu yake, hivyo unatoa unachoweza.
 
Best kama hauna watu kama hawa kwenye ukoo wenu katoe sadaka ya LKUJIMALIZA asikwambie mtu,,,,,,yaani wachaga tunavumilia mengi sanaaaaa

Kuna magrp ya ukooo matajiri usiwaguse ati una ndugu yako mgonjwa aisee watakurudisha na vibokoooooooooo

Ila itokee yule mgonjwa kafaa best yaan hawaitaji hata kusema kiasi cha hela unasikia asbh kwenye whatsup

1.Ntatoa gari la kumpelekea marehemu na jeneza na maua

2.Mwingine ntatoa coaster 1 ama 2 kwenda na kurudi

4.Mwingine ntahudumia vyakula kule moshi mpaka shuhuli iishe

Hawa hawa wameona picha ya marehemu kwenye grp akiomba msaada wa fedha ama chochte kile aendelee kuishi wanarusha 15 000/20000 kufa uone aisee n basi tu maarehemu haoni kinachoendelea.....

Je, mnao watu wa aina hii kwenu..kama familia mmewasaidiaje na sisi wakae sawa waweze kujua kuchangia mtu akiwa hai....

Ubarikiwe
😂😂 yan ss koyetu imejitenga matajiri kivyao maskini kivyao upande wa Dingi ni upare uko, kwa bimkubwa ivo ivo yani nao maskini kivyao na madone kivyao ten huku kwa maza madone ni madone kwel lakin wanaonana siku za msiba tu, Mgonjwa utauguza mwenyewe lakin siku chache baada ya msiba hata ukitaka kuoga pombe unapewa lita20 haya kaoge castle iyo😂😂
 
Sio nyie wabongo tu hata sie wazungu huku kwetu hao watu wapo
Kenya hiyo kitu sisi hakuna. Iwe mgonjwa, mwanafunzi anahitaji karo au kusoma america au harusi au mtu hana nyumba, tunaitisha harambee kila mtu anachangia.
Nyie watz mko na roho mbaya ya kutotaka kusaidia wenye shida. Hiyo mipesa na uchoyo yenu, itawapeleka motoni
 
Kenya hiyo kitu sisi hakuna. Iwe mgonjwa, mwanafunzi anahitaji karo au kusoma america au harusi au mtu hana nyumba, tunaitisha harambee kila mtu anachangia.
Nyie watz mko na roho mbaya ya kutotaka kusaidia wenye shida. Hiyo mipesa na uchoyo yenu, itawapeleka motoni
kweli mkuu niliwahi kaa kule na jamaa mmoja kama miezi minne akaumwa ikapitishwa mchango nkaogopa jamaa alpopona tu akaomba arudi home alipata job akahisi mmempiga kimbola aka kitukizitoooooo
 
shidaaa kila siku haaooo hao wakisikia msiba wao jeneza usafiri chakula unaweza hisiii wammempiga KIMBOLA mgonjwa akafa
 
Back
Top Bottom