Gamaha JF-Expert Member Joined Jul 17, 2008 Posts 3,915 Reaction score 5,038 Jul 10, 2023 #21 Maghayo said: P Diddy rudi control tower uongoze ndege. Click to expand... Hivi ni huyu huyu P Didy wa zamani?, Mbona mwandiko umekuwa mzuri sana siku hizi
Maghayo said: P Diddy rudi control tower uongoze ndege. Click to expand... Hivi ni huyu huyu P Didy wa zamani?, Mbona mwandiko umekuwa mzuri sana siku hizi
YE67NBE JF-Expert Member Joined Nov 30, 2015 Posts 15,155 Reaction score 36,337 Jul 10, 2023 #22 Hao wapenda sifa za kijinga msibani watu wengi watamjua km yeye ndio kashiriki asilimia kubwa, lakini kwenye ugonjwa anaona atasifiwa na watu wachache. Achana nao watakuumiza kichwa tu!
Hao wapenda sifa za kijinga msibani watu wengi watamjua km yeye ndio kashiriki asilimia kubwa, lakini kwenye ugonjwa anaona atasifiwa na watu wachache. Achana nao watakuumiza kichwa tu!
Citizen_37 JF-Expert Member Joined Jun 29, 2023 Posts 957 Reaction score 1,124 Jul 11, 2023 #23 Nyonzo bin mvule said: Sio nyie wabongo tu hata sie wazungu huku kwetu hao watu wapo Click to expand... Nyonzo bin mvule said: Sio nyie wabongo tu hata sie wazungu huku kwetu hao watu wapo Click to expand... Attachments aaaa.jpg 42 KB · Views: 4
Nyonzo bin mvule said: Sio nyie wabongo tu hata sie wazungu huku kwetu hao watu wapo Click to expand... Nyonzo bin mvule said: Sio nyie wabongo tu hata sie wazungu huku kwetu hao watu wapo Click to expand...
Dr Rutagwerera Sr JF-Expert Member Joined Dec 21, 2011 Posts 5,809 Reaction score 11,462 Jul 11, 2023 #24 Mtu mweusi hapa duniani haeleweki. Akilia kama anacheka akicheka kama analia