Na nyie mnakereka kama mimi?

Na nyie mnakereka kama mimi?

MwakiIV

Member
Joined
Aug 31, 2018
Posts
79
Reaction score
138
Tuko kwenye msimu wa sikukuu, watu wanafurahia kuona Krismas na pia kufikia Mwishoni mwa mwaka.

Lakini kuna mtu anaumizwa na furaha za wengine, katikati ya furaha anatutumia message ya kutukumbusha Januari na mahitaji yake.

Mambo ya Januari nafikiri tungeyaacha Januari kwani kwa namna youote Mungu akituweka tutayakuta.

Sasa haya ya Disenba tukiyaacha yakapita hakuna namna tutayapa tena.

Tujipe furaha pia tuwe na utawala wa furaha zetu. Na wale waoga watuache tuponde mali.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tatizo kubwa sisi waswahili hatuishi kwa budget ila ukiwa mtu wa plan na kubudget mambo yako mbona kila kitu kina kwenda sawa tu.
Hivi nikuulize wewe mleta uzi ina maana haujui kabsa kama january kuna kulipia ada za watoto na mahitaji mengine ya shule na kujiandaa kwahilo kama hujajianda huo ni upumbavu.
Haya hapo unapoishi kama ni nyumba ya kupanga ina maana umejizima data kuwa kodi ya nyumba inatakiwa kulipwa au ulidhani nyumba niya babako.
Na wewe mfanyabiashara hiyo fremu ya biashara plus kodi za tra n.k ulitaka nani akulipie kama sio wewe
 
Tatizo kubwa sisi waswahili hatuishi kwa budget ila ukiwa mtu wa plan na kubudget mambo yako mbona kila kitu kina kwenda sawa tu.
Hivi nikuulize wewe mleta uzi ina maana haujui kabsa kama january kuna kulipia ada za watoto na mahitaji mengine ya shule na kujiandaa kwahilo kama hujajianda huo ni upumbavu.
Haya hapo unapoishi kama ni nyumba ya kupanga ina maana umejizima data kuwa kodi ya nyumba inatakiwa kulipwa au ulidhani nyumba niya babako.
Na wewe mfanyabiashara hiyo fremu ya biashara plus kodi za tra n.k ulitaka nani akulipie kama sio wewe

Karo za wanangu deadline ni 30/11, mie sina shida.
But sipendi to see people ruin other people’s good times.
Eti! Kuna January, kula bata vizuri.
 
Hizi sikukuu naonaga kama zinakuzwa kupita kiasi ...binafsi nawaonea wivu wale ambao hawaendeshwi na mkumbo...
 
Back
Top Bottom