Na nyie NECTA toeni majibu ya kidato cha nne, ndugu zetu wamechoka kusubiri!

Na nyie NECTA toeni majibu ya kidato cha nne, ndugu zetu wamechoka kusubiri!

Kupanga ni kuchagua, kama hilo ni jema kwa wahusika basi linaweza kufanyika tu. We wako aliyepara F zote kamrisitishe ili apige zingine!
Nimeupokea ushauri wako

------

Kwa maana ingawa mtu mwenye haki huanguka mara saba huinuka tena, lakini waovu huangushwa chini na maafa.
 
Kenya National Examination Council,walitoa matokeo ya Form IV siku ya Ijumaa tarehe 20/01/2023 . Wanafunzi walimaliza kufanya mitihani tarehe 23/12/2022.Mitihani walianza kusahihisha January 02,2023.
NECTA tuige mfano wa wakenya mazuri huigwa

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kenya National Examination Council,walitoa matokeo ya Form IV siku ya Ijumaa tarehe 20/01/2023 . Wanafunzi walimaliza kufanya mitihani tarehe 23/12/2022.Mitihani walianza kusahihisha January 02,2023.
NECTA tuige mfano wa wakenya mazuri huigwa

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
NECTA YA KWETU NI WAJINGA SANA. Labda matokeo yamecollapse.....hawajawahi kuwa fasta hata siku moja
 
mtoa ni member since December 2022[emoji848][emoji116]
Screenshot_20230122-200305.jpg
 
Back
Top Bottom