Na nyie wanaume/kaka zangu zingatieni mambo haya ya unadhifu

Mdada naona Uzi umeenda huu kwaiyo wame za mabinti wananuka muhahoπŸ˜„πŸ˜„mmeo hanuki mbupu
 
Duuh
 
Nilichoambulia kwenye post yako, ukikutana na msafi, uko tayari kuchepuka. Nisamehe kama nakosea maana mimi sio msafi pia.
 
Point ni wababa kunuka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ndiyo mjitete sasa, mtoe sababu,.

Ila mie naona huko majumbani hawaeleweki ndiyo maana wake zao Wana amua kuwaachia kama vile bata wakienyeji waende zao huko.
 
Ungeanza na huyo mwenzetu then uje utusute na sisi wa jf
haha
πŸ˜„ duh huenda ulkua na wazo zuri kwa kaka zetu ila jinsi ulivyoliwasilisha,,, lazma wakuchambe tuuh πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…