Na nyie Wanaume mjitahidi muwe na uanaume ndani yenu. Unakuta Mwanaume Fala/Kapoa mpaka basi

Sijui nani alikudanganya eti left hand ana mfupa mmoja.unaonekana hata huelewi kilichoandikwa....mwanamke hapigwi anazabwa kibao tu au kofi. Mwanaume mwenye akili hawezi kama mwanamke....we tayari unaonekana una udhaifu.


 
Inawezekana maana wanawake nasi siku hizi tuna mambo mengi sana
Huyo shosti hajakueleza kwa undani zaidi. Haya ndo madhara makubwa ya kudaka wanaume kwa njia za limbwata,cheki jamaa kawa zoba mazima.
 
sema mimi sipigagi makofi ya kwenye uso mimi napiga mashavu ya K mpaka inabadilika rangi na kuwa nyekundu ...............usisome kwanza bado naandiaka
 
Siku hizi watu wenyewe wanatembea na kifo mkononi umzabe kofi kumbe ndo umempa tiketi we unaenda kula maharage jela. Mtu kama haeleweki piga chini acheni kusumbua mikono kupigana pigana.
Mimi binafsi siwezi kupiga mtu maana niliponyeka kwenye tundu la sindano miaka hiyo dogo mmoja alikua ananiletea kibesi nikataka nimzabe makofi washkaji wakaniambia muache bana, kufika jioni ilikuja story yule dogo kafariki kwa kuzama kwenye maji kinyerezi huko sikuamini nikahisi kama je ningempiga kofi au ngumi ingekuaje?? Labda ndo shetani alikua anajitafutia gereza. Sasa hivi sisumbui akili unataka wa kukutwanga Left In Peace.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui nani alikudanganya eti left hand ana mfupa mmoja.unaonekana hata huelewi kilichoandikwa....mwanamke hapigwi anazabwa kibao tu au kofi. Mwanaume mwenye akili hawezi kama mwanamke....we tayari unaonekana una udhaifu.
ahsante sana ila from that day hayo mapenzi ya hivyo nliachia pale asaiv sitaki mwanamke msumbufu
nakutanana nao lkn sikomi kuwaacha pia
mi nahitimisha as ni utoto ndio unao

jinsi ulvonijibu inaonekana hata ndoa huna ila uko desperate nayo
tehteh et nkupige kibao?ili urudie matokonyoo yako!? m mkuria bhana nakupiga bapa la sime au ngumi
kwanza siez kua na mwanamke wa aina yako
 
Kweli mwaya, mwanaume anapendeza awe gangstar flan hiv, mbabe, mkorofi, anakunywa pombe au anavuta mibange yake, hawa ndiyo wanakuwaga very gentle, ukizingua anakuzingua, ukimshow love ana respect, lakini wale sijui walokole, unakuta mwanaume hata pombe hanywi, muda wote mnaangaalia naye tamthiliya sebuleni, WTF!
 
huyu mleta mada hajapevuka atakua anatania tuu
hakuna mwanaume dunianzima anaependa mwanamke msumbufu
tnawavumiliaga tuu mda anatafutwa mwingine mpole
 
Aiseeee unaye?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
'Akanyamaza na kuanza kulia...jamaa lilienda kaa pembeni kwanza kama dk 5 hivi kumwacha alie.then likamfuata na kuanza kumbembeleza.likambembeleza akiwa analia kwa kwikwi.likaanza mnyonya maziwa,ulimi na kumpasasa yule demu anasema akawa analia huwa anatanua miguu.jamaa lihuni limchepuko la kudumu lilipoona ameloa lika sex naye."


Dah!!...nimeshawishika kufanya kitu muda huu.

Akili imehama kabisa

"Enough of No Love"
 
Hiki kipande ni konki balaa aisee[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha enzi niko under 23, kamanzi kalinitusi et ..... wako. Nikajifanya kama naenda nje hivii si akanishika flana langu la mtumba nililovalia siku hiyo likavutika

Ohooo niligeuka ni kibao mtoto hakuamini akaenda chini! Alivonyanyuka nikadesh kama namtandika tena akasema "mama nafwaaaaa" hahaha kilichofuata akaomba msamaha baada ya dk kadhaa nikañza na romance kisha nikajipigia

Tulienjoy sanaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…