Na nyie Wanaume mjitahidi muwe na uanaume ndani yenu. Unakuta Mwanaume Fala/Kapoa mpaka basi



 
Nahisi huyu Ma Mshuza ni ile ya Musoma ambao halali bila ya ngumi aua kukatwa mapanga angalau kwa mwaka mara moja
Na siku mumewe akifa analia ni nani atakuwa hata ananipiga mangumi
Mwanake umesoma na ni Mkuu wa wilaya, Jaji, Kamishna mkuuk wa Mkoa au Waziri pengine hata Makamu wa halafu eti unatandikwa makofi
Acheni ushamba tafuta mali zako ishi na wanao km mume ni mutu ya Mara
 
Juzi kwenye ule uzi wa kuwachapa makofi, kuna wenzenu walikuwa wanabisha bisha wakiongozwa na nyapara mkuu espy Tulisema wanawake wanatakiwa wale tukofi wakizingua. Tuliambulia kuitwa wakoloni kumbe kiuhalisia makofi ni esensho for building strong relationship!
 
Hizo ndio Roughnecks for Lifestyle! Wahuni sio watu
 
Nadhani ni kitu ambacho pia ushawahi kuki experience. Thats so amusing!
 
Ila ni kweli hata mi napenda my man awe namna iyo,hata km ni mpole ila inapofikia angle flan aonyeshe uanamume wake sio kulalama tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpo wengi kumbe, sema kuna wale ambao wanajifanya wao kupigwa mwiko kama vile ni malaika ila wanazingua kinoma yani!
 
Yani nahisi mwanamke ni kiumbe pekee duniani... Unaweza kufanya baya akalipenda na ukafanya zuri akachukia ....

Kudadeki nitarudi[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji2093][emoji2093][emoji2093][emoji2093][emoji2093]
 
Bila shaka kilikuwa kibeki 3 chenu!
 
Hahaha we mtafute MO Dewji atakufaa
 
Muwapige hao hao walokosa malezi bora na kuvurugwa akili, maana ndio mnalingana nao akili.
 
Kuna wale jamaa wawili wanaojifanyaga hawajawahi kupiga kofi mwanamke. Ujumbe huu uwafikie!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…