Na nyinyi mmezidi bana...

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Mtu unaenda grocery store lakini unavaa kaa unaenda klabu. Umevaa kimini na unaonesha mpasuo/ mgawanyo (cleavage) wa matiti. Matokeo yake mmenifanya nigeuke huku natembea hadi nikajigonga kwenye nguzo ya zege. Sasa hivi nina nundu hapa pembeni ya paji langu la uso kisa mapaja na matiti. Nimechukia sana. Sijui kwa nini mnatufanyia hivyo.....:mad2:
 
kwa kweli NN nimecheka sana leo...daaaahhh kwa nini wanakufanyia hivo!!!! hahaaaaaa nimeianza siku kwa kucheka leo
 
kwa kweli NN nimecheka sana leo...daaaahhh kwa nini wanakufanyia hivo!!!! hahaaaaaa nimeianza siku kwa kucheka leo

Sijui kwa nini wanafanya hivyo bana...ngoja tuwasubiri akina dada waje watueleze sababu zao. Yaani hii nundu inauma kweli babu....halafu ndio imekuja mwisho wa juma......mfxiiiiiiiiiii (mfyonzo huo)
 
NN,

Matangazo ya biashara tu hayo. Tunahitaji a version of "predatory vending law" against this, maybe some Taliban tips.

But seriously, mara nyingi tu the goods are not as good as they look. Which is more of a reason you should go for the brain than the tits, azz and face.


Words to the wise.
 
But seriously, mara nyingi tu the goods are not as good as they look. Which is more of a reason you should go for the brain than the tits, azz and face.


Words to the wise.

Most definitely..............
 

Kulikoni tena leo mkuu?
 
Kulikoni tena leo mkuu?

Aaah bana wee...nimetoka zangu kazini nimerudi nyumbani....nikaanza kusumbuliwa na allergies...si unajua huku kwetu tuna matatizo ya pollen. Basi nikaamua kwenda zangu pharmacy pale Kroger kununua Zyrtec. Nikaamua kuangaza angaza kwenye aisles zingine kuangalia kama wana sales zinazoendelea. Ndio humo kwenye aisle nikakumbana na wadada wawili....nadhani wa Wadominican wale....bana weee yaani walivyokuwa wamevaa mtu mzima uzalendo ukanishinda ndugu yako. Waliponipita ikabidi nigeuke tena kuwaangalia huku nikiendelea kutembea. Kichwa kimegeuka nyuma huku naenda mbele. Nikajigonga kwenye nguzo moja ya zile price scanners za kuangalizia bei za vitu. Sasa mwili ulipogonga ile nguzo na kichwa nacho nikageuza na ndipo nikajibamiza pembeni ya paji la uso. Kwenye hiyo aisle walikuwepo jamaa flani wawili na wakaniona nimejigonga...wakaanza kucheka bana. Yaani noma kweli babu......sasa nina nundu halafu wikendi nayo ishafika....sasa hivi hapa nimejiwekea barafu na natumaini uvmbe utakuwa umepungua kufikia asubuhi.....
 
U never cease to amaze me son.

I thought u would never see it this way in a mill years!

Come on son, how many times have u seen me say that, all kidding aside, when it comes down to it, if you are ready to settle down the most paramount quality one should look for in a partner is strength of character? You shouldn't be surprised at all. I think getting with somebody who is walking on a solid moral ground is a good start (though not a guarantee of a successful relationship). Good morals, intellect, and all that jazz can all be wrapped around the strength of one's character. I know I like to clown around a lot but that doesn't mean I don't have a brain...
 

Dah...........Pole sana babu
 

well.. heri yako! mwenzio niliambulia kuzabwa kibao ndio maana kuanzia wakati huo natembea kama niko kwenye gwaride.. "maachooo mbelee!".. hadi nitakapotoa heshima kulia! wakati haangalii... So.. Learn from the old man.. WATCH WHERE UR GOING; OR U'LL GO WHERE YOU ARE NOT WATCHING.
 

Duh pole sana bro..but I had to laugh first na hilo nundu lako usoni.
Haman fidia aisee?
 

........Hayo mapaja na matiti hukuyaacha hapo room yako? Wanaume na nyie mmezidi kutamani khaaaaaaa!!
 
Pole saaana NN ! Hiyo allergy ukiipigia zoezi la nguvu haipungui?
 
Nyani Ngabu tafuta mke utakuja kufa bure kwa kushangaa mademu hivi hapo ingekuwa barabarani si ungegongwa na gari
 
Exactly...and yet women want equality! Sasa kama wewe unaweza kupata 90% of ur needs from ur looks (and at the same time cause injury to others...as the case here)...equality itakuwaje? Are you not making yourself a commodity? Women...never to be understood!
 
Pole mkubwa kwa yaliyo kusibu, bora ulikula kwa macho hukumfuatilia kweli maana huyo aliyesababisha ukapata ajali lazima alikuwa si mchezo!!!
 
Pole sana mkuu, inabidi sasa kuwa makini kila unapokutana na hali hiyo, sasa ni kinundu safari nyingine huenda likawa jicho au kichwa kabisa!
 
Wala hatujazidi wewe kwa nini unaangalia mpaka ujigonge upate nundu ya uso??? Unapaswa uangalie kidogo tu kwa sekunde chache halafu uache na wengine waangalie bwana sio wewe unayeangalia mazima mazima
POLE SANA NN...............njoo nikukande bathi hako kathehemu:smile-big:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…