Na nyinyi mmezidi bana...

Kwanini uangalie in the first place? Hayo ni matatizo ya kujitakia mwenyewe na wala usiwalaumu akina dada wa watu.

Jamani...kwani macho kazi yake nini? Mbona mnaanza kunilaumu mimi "victim"....? Je ningewabaka hao wadada mngewalaumu wao na jinsi walivyokuwa wamevaa kuwa ndiyo wamejisababishia kubakwa? Kuweni na huruma jamani. Na hii nundu inauma kweli...daaaah
 
Jamani...kwani macho kazi yake nini? Mbona mnaanza kunilaumu mimi "victim"....? Je ningewabaka hao wadada mngewalaumu wao na jinsi walivyokuwa wamevaa kuwa ndiyo wamejisababishia kubakwa? Kuweni na huruma jamani. Na hii nundu inauma kweli...daaaah

hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa lol!!!
shem pole jamani, uwe na kiasi na wewe unaangalia tu mpaka mwisho kheee!!!

am trying to imagine hilo linundu usoni kwako duh!!! lakini anagalau umeongeza maisha!!!
 
Mkuu pole sana....au ulisoma hii article kabla ya ajali kukukumba?


Kwa huo utafiti watu wengi watazabwa vibao kama Mzee Mwanakijiji ama kupata nundu kama Nyani Ngabu sasa ni kupima uzito kipi bora maisha marefu ama ajali na adhabu.
 

duh! pole sana NN inabidi uwe makini mana c dhani kama mitego itaisha
 
Jamani watu mna vituko huku ah .....Shemeji NN pole mwaya siku nyingine uwe unatanguliza ile white stick ati.............

By the way kumbe mwanakijiji you are already taken!! Poor me I was about to.................
 
.....uwe unatanguliza ile white stick ati........................

Haiwezekani kutoangalia (ikizingatiwa pia kuangalia inasaidia afya)....hii ya kutembea na white stick ni mwafaka kabisa.:becky:

 
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa lol!!!
shem pole jamani, uwe na kiasi na wewe unaangalia tu mpaka mwisho kheee!!!

am trying to imagine hilo linundu usoni kwako duh!!! lakini anagalau umeongeza maisha!!!

Sasa shem na wewe badala ya kunionea huruma unaanza kunicheka. Mambo gani sasa hayo shem....nichemshie maji basi halafu uyaweke kwenye karai halafu unikande kande hii nundu. Sidhani kama Nkwingwa ata-mind wewe kumuuguza shem shem wako....
 
Sasa shem na wewe badala ya kunionea huruma unaanza kunicheka. Mambo gani sasa hayo shem....nichemshie maji basi halafu uyaweke kwenye karai halafu unikande kande hii nundu. Sidhani kama Nkwingwa ata-mind wewe kumuuguza shem shem wako....

shem nimecheka lakini nimekuhurumia pia...ndo maan ajana hukuja nini?? siri imefichuka sasa.
hebu njoo nyumbani nikuhudumie shem wangu, kakaako hawezi kujali!!!

ila ukija sitajizuia kucheka kwa kweli lol!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

:hug:
 

hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa jamani kweli macho yako yanatimiza wajibu wake vizuri!!!!

i was about ot ask kwani siku hizi una hariri chombo gani cha habari.........loooh kumbe!!!
 
Nakushauri uwe unatembea na helmet kwa usalama wako ukiona tu majaribu unaivaa chap chap na kuendelea kula kuona bila hofu ya kupata nundu.
 

Hahahahahahaha! LOL! Nimecheka sana hahahahahaha Pole sana NN inaelekea hiki kitu hakikuwa cha kawaida maana Mzee mzima hadi ukajisahau na kutoangalia ulikokuwa unakwenda badala ya ke kushangaa kwa kazi ya Mungu. Summer hiyooooo na summer hii inaelekea kutakuwa na joto la kufa mtu maana May kuna temperature za July sasa tukifika July ndiyo baadhi wataamua kutembea uchi kabisa sasa na maumbile yao mhhhhhh! itakuwa kazi kweli kweli!! Next time ukumbuke hatua mbili unaangalia unakokwenda halafu hatua moja unashangalia tena kazi ya Mungu hahahahahaha. Kuna best wangu mnyarwanda ana mke bomba sana lakini yeye kwa kushangalia kazi ya Mungu ndiye mwenyewe maana hubadili mwelekeo na kumfuata binti na kuacha distance kidogo ili aendelee kufaidi kwa macho, labda hili si baya kulifikiria hahahahahahah. Celtics all the way this year, they have the size, weapons, determination and the reason to prove that all analysts were wrong to count them out just because they are TOO OLD.
 
Watch where you are going next time, did you go to the store to look at ass and cleavage or to shop??
Seriously.
 
Mkuu pole sana....au ulisoma hii article kabla ya ajali kukukumba?


Mhhhhhh! Kumbe ni dawa...LOL! haya kumbe kazi inayofanywa na macho inaunufaisha mwili mzima maana unakimbiza kabisa BP na heart stroke wala hazikusogelei at the same time increasing your life span hahahahahahah.
 

pole mtani!!

wanasema ... either uende unapoangalia, au angalia unapoenda!!! pole mzee manundu...
 
Mhhhhhh! Kumbe ni dawa...LOL! haya kumbe kazi inayofanywa na macho inaunufaisha mwili mzima maana unakimbiza kabisa BP na heart stroke wala hazikusogelei at the same time increasing your life span hahahahahahah.

Tatizo ni unapozabwa kibao kama Mwanakijiji au kujigonga kwenye nguzo ya zege kama NN au unagonga/gongwa na gari au unadumbukia kwenye mtaro wa maji machafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…