Na Pesa Yetu.. This is Why You Don't Buy Planes in Cash

BUddah unatakaga statistics nimekuletea.
Acha upayuko basi.
Huwa si unatakaga statistics wewe???
Hzo hapo
Nyie mnaongoza kuishi ktk slums.



Tizama hapo nan slums kwake huongezeka???!!!!!

While the number of people living the five biggest slums in the world amounts to 5.7 million, this is only just a drop in the ocean.
Today, by the most conservative estimates, about 900 million people live in slums. But most experts agree that including different types of informal settlements, the number goes up to 1.6 billion – which represents 1/4 of the world’s urban population.
By 2030, it’s estimated that it 1 in 4 people on the planet will live in a slum or other informal settlement. Let’s take a tour of the world’s biggest slums:
Khayelitsha in Cape Town (South Africa): 400,000
Kibera in Nairobi (Kenya): 700,000
Dharavi in Mumbai (India): 1,000,000
Neza (Mexico): 1,200,000
Orangi Town in Karachi (Pakistan): 2,400,000
Due to population growth and the migration trend from rural areas to cities, these slums are clearly h

Hyo hapo habar mwezio kaleta chart nami nikaichukua alipoitoa ikielezea Kenya kuna slums kuzidi nchi yeyote EA na ya pili Dunian na Africa.
Au UN wanaongopa???!!!
Si wataka statistics wewe??!!!!

Tz kuna unplanned settlements hakuna asiyejua.
Manzese zipo nyumba kibao bungalow zimetapakaa,Tandale vivyo hvyo na sasa hv serikali inarekebisha maeneo ya Tandale.
Sisi tuna unplanned settlements asa nenda katafute bungalow kibela kama utaipata km sio nyumba za mabati zilizotapakaa maplastic bottles.
Nimeweka hapo data toka 2014 tz ina wakaz wa slums in urban 50.7% na kadri siku zinasogea idad inapungua.
Kwasababu kwetu huku watu hujenga dream houses kujenga huku rahisi.
Ila Kenya ukiangalia chart yenu toka 2014 na kuendelea idadi inaongezeka ya slums.
Nimeleta hapo list ya greatest slums in Africa Kenya ya pili tena hyo ni contemporary data.
Asa bro unahitaji nn tenaaa????!!!!!
Basi niletee evidence au data kutoka UN km alivyoleta Kennedy inayoonesha Tz kuna slums kuwazidi?
Am waiting.
 
Halafu kaka naona unaitaja tu kijitonyama hv umefika kijitonyama ukaiona ilivyo sasa ?!!!!!
Kwanza zimetandika tarmac road kwanzia Magomeni kanisan kupita Tandale yote mpk kijitonyama vichochoroni.
Huijui kijitonyama Wewe unaongea past news tu.
Embu kaitafute kijitonyama ya sasa ikoje au nitakuletea pic uione ikoje.
 
Wow!You have the qualities of a teacher.
Umemvumilia mwanafunzi wako sana na kumuelimisha ipasavyo. Hongera!

Ni mtihani unaotaka uvumilivu kuwaelimisha hawa, kuna wakati nilikua nakwenda nao hadi kurasa ishirini nikitoa elimu ya bure lakini waliivyo ving'ang'anizi, inabidi uachie tu maana huishi kwa kukaririshwa.
Kuna mambo ya kiajaabu Watanzania huwa wamekaririshwa kuhusu Kenya, nenda hata vijiweni kwao uwasklize wakati wanaijadili Kenya, utajikuta unashangaa kama kuna Kenya nyingine au ni hii moja.
 

Hio 50% ya Tanzania in terms of actual figures, ni zaidi ya hio 54% ya Kenya.
Kenya has a smaller population.
Ila hizo ni data za slums, sio unplanned settlements. Tukiongeza unplanned settlements, sina shaka Dar itapanda hadi 90%.

Kenya tumeanza affordable housing. In 10 years time, hio namba itakuwa chini sana.
 
Mnajisahau buddah.
Bora mm nilikua nabishana na mwenzio kuhusu GDP na hakuna aliyekua anajua kila kitu.
Yeye kakosea kusema LDC ni pato la mtu binafsi na mm nilikosea kusema kuwa GDP ndio revenue.
Au yeye kapatia kusema hvyo???
Au yeye ndio anajua kila kitu???
Tatizo wakenya mnajifanya mnajua sana .
Kumbe much know tu.
Nikimtoa Kennedy kuna Engineer levi Dani sijui anakwambia USA is amongst continents.
Sasa hv huyo Kennedy unayemsifia anafananisha Slums na unplanned town.
Yeye anasema ni kitu kimoja bado yeye anajua????
Wakenya mnajifanya wajuaji sana ila hamna kitu nyie.
Hao ni mifano wadogo tafuta wenzako wengine uone vtuko vyao.
Halafu buddah unajisahau labda TZ huwazungumzia Kenya humu jf ila sio vijiwen tukae kuibeza kenya.
Ila kenya hufanya hvyo.
Nimeona hlo ht FB tz isifanye kitu basi kenya itataka kujishindanisha nacho had Daraja la Kigambon mlileta chokochoko.
Majiran mna tabu
 
Rubbish and nonsense
 
Embu ikumbule ile chart.
Tz slums tunaondokana nazo sasa hv ht hyo 50% ni ya 2014 na ishapungua.
Kwasababu yale maeneo yenye slums government huenda zivunja.
Ila wanapozivunja hujisahau hawaek mipango miji watu wanajenga good houses ila wanajenga randomly zimetapakaa kwahyo wanaondoa slums wanaingiza unplanned towns.
Ila Kenya slums wakaz wenu huongezeka na mpk slums mpya zinagundulika huko aisee.
Sikatai Kenya kwa planned cities and towns mnatisha East Africa.
Hakuna anayewafikia tuseme ukweli japokua Dar tunajitahidi kuikuza na itafikia huko one day.
Ila slums kwenu tatzo.
Daresalam ina unplanned settlemnts naweza sema 60% kwasasa.
Kwasababu serikali inajitahidi maeneo yaliyobaki wajenge estates na maeneo mabovu wanaanza yabomoa na kuyajenga vema.
Mathalan Tandale nyuma ya kwa tumbo karibia na magomeni kanisani kumejengeka ukienda kijitonyama nako wamejitahidi kupunguza unplanned settlemnts.
Nina amin Dar unplanned settlemnts zitaondoka tu.
Na tutawafikia Kenya Nairobi siku moja.
 

Conjecture and hearsay.
Wapi huko ukasoma Kenya slum zimeongezeka kutoka 2014?

Msema ukweli ni Google maps.
Chukukua Google earth ya Nairobi na Dar, nje ya CBD, fanya comparison.

Dar inakaa unplanned shitholes full of dusty roads and very few tarmac roads. One large slum.
Nairobi inakaa ulaya. 😂 😂

Zoom in kwa hizi picha mbili uone difference.
Nairobi


Dar
 
Unaleta yale yale tena!!!!!
Hiyo haileti evidence kuwa Dar kuna slums bali inaleta evidence kuwa Dar kuna unplanned settlemnts kwa wingi.
Na kwa taarifa yako more than 50 kms za tarmac zimejengwa Dar kui cover kijitonyama,Mbagala,Mbezi,Kigambon e.t.c.
Umeleta aerial image ya baadhi ya eneo la Dar wala sio Dar nzima.

Niko na mtu mbishi asee!!!!!
Hizo ni maeneo zenye unplanned settlemnts wala sio slums .
Nadhan utanielewa.

List of slums in Kenya
This is a list of slums in Kenya.
Kibera
Mathare
Kayole
Dandora
Baba Ndogo
Fuata Nyayo
Huruma
Kawangware
Kangemi
Kariobangi

Ona hzo slums zote.Unapinga km slums kwenu zaongezeka ilhali ht chart uliyoleta inaonesha ongezeko la slums.Still living in denial soma hzo list za slums kwa kenya.
Ww unaniletea aerial view ya sehem ya Dar ikiwa na unplanned settlements then unaleta aerial view ya Nai baadhi ya sehem mbna eneo za slums hukuleta???
Manzese kwenyewe hakujachakaa hv aisee.
Hapo huwez kuta bungalow hata moja ni nyumba za bati tu.
Naiona kenya ilivyo tajiri ikiwa na 10 slums.
HONGERENI
 

Many of those slums you are listing are less than 2 acres in size.
Dar is slum is thousands of acres.
 
Daaah wakenya roho zinawauma bc tufanye ndege ni za kwenu.
Yaan ubaguzi Wa wajaluo na wakikuyu mmeona hautoshi mkaamua muhamishie na Tanzania
 
Many of those slums you are listing are less than 2 acres in size.
Dar is slum is thousands of acres.
Nimekwambia buddah lete evidence kuwa Dar is a slum.
Ingekua Dar ni slum UN wangeshalitamka hilo.
Ila kutokana na kuwa Dar kuna unplanned town hakuna slums hawakuitaja.
Dar is a city with unplanned settlements not slums buddah.
Kashindane na UN huko maana ninyi ndio mnaongoza kuwa na slums sijaona mahali Dar ikitajwa.
HAVE A NICE DAY BROTHER.
 
Sio tuu maelfu fanyeni mamilioni lakini VP yanawahusu au umbea tuu
Msamehe mkuu.
Kaka angu huyu analazimisha miji isiyopangika kuiita slums.
Ilhali miji isiyopangika na slums ni vitu mbili tofauti.
 

Tembea Nairobi. Then you will know 90% of Dar is a slum. Ndio maana wazungu wanaiita 'fishing village'.
Nairobi pia iko na some unplanned estates, lakini the buildings don't look ghetto and slummish like Dar.

90% of buildings Dar zinakaa hivi.


90% of buildings in Nairobi zinakaa hivi.
 
Hahhahaahahha kaka unanimaliza.
Hv hyo pic uloleta ya Tz kuna slum yeyote hapo??!!!
Hzo ni ordinary house buddah sio slums km unavyosema.
Dar hakuna slums km Nai.
Halafu hujafika Dar sasa hv mpk useme 90% ya Dar ni slummish my bro ngojea nikuletee pic uone Dar maeneo mengi yakoje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…