nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Mchungaji katika mahubiri yake akasema...kama ningekuwa na uwezo..bia zote ningezitupa mtoni,akazidi kuongeza na konyagi zote ningezitupa mtoni,hakuishia hapo akasema hata mbege,ulanzi,komoni,kibuku,msabe,dadii,gongo kimpumu,dengelua,utukuru...waumini woote wakabaki kimyaa.
Ulipofika muda wa kutoka akasema ....''wakati wa kutoka tutaimba wimbo namba.... ....unaoitwa,..Na tukutane mtoni...waumini woote wakashangilia kwa vigelegele na miluuzii.
Ulipofika muda wa kutoka akasema ....''wakati wa kutoka tutaimba wimbo namba.... ....unaoitwa,..Na tukutane mtoni...waumini woote wakashangilia kwa vigelegele na miluuzii.