mimi mwanamke msumbufu kitandani tu..........
mengine unaweza kufundishana...
but ukikuta yule ambae hataki kuelekezwa hapo basi.....
mimi mwanamke msumbufu kitandani tu..........
mengine unaweza kufundishana...
but ukikuta yule ambae hataki kuelekezwa hapo basi.....
mimi mwanamke msumbufu kitandani tu..........
mengine unaweza kufundishana...
but ukikuta yule ambae hataki kuelekezwa hapo basi.....
Anayekoroma, kujiegeuzageuza..kulala free style..au una maana gani?
WOS ..
namaanisha kikubwa zaidi.......
like mguu leta juu,au mikono zungusha upande huu...lol
ha ha ha
hutaki akuambie umwekee mguu? kwanini?
Dah...yani umenielezea mimi bila hata nukta!1.Nijue kupika kwani nataka kua mpishi! 2.Kama salamu unayotaka ni shkamoo kwani we ni mzazi wa huyo mwanamke?Mambo na habari vinatosha! 3.Tatizo mnashindwa kutofautisha kati ya mtu kujua kitu na kujionyesha! 4.Labda yeye haoni ni kosa! 5.Kama unatakiwa ufanane kwa mazuri shida iko wapi??
Dah...yani umenielezea mimi bila hata nukta!1.Nijue kupika kwani nataka kua mpishi! 2.Kama salamu unayotaka ni shkamoo kwani we ni mzazi wa huyo mwanamke?Mambo na habari vinatosha! 3.Tatizo mnashindwa kutofautisha kati ya mtu kujua kitu na kujionyesha! 4.Labda yeye haoni ni kosa! 5.Kama unatakiwa ufanane kwa mazuri shida iko wapi??
Siku nyingi huwa nasikia malalamiko mengi kwa wadada wakisema mwanaume akiwa hivi au vile simtaki.
Haya na sisi wanaume tutoe list zetu kuhusu wanawake ambao hututaki tuhusike nao kiurafiki.
Za kwangu:
Mwanamke asiyejua kupika.
Mwanamke asiyekusalimu
Anayependa kujionyesha anajua zaidi kuliko wewe
Anayefanya makosa lakini hakubali makosa yake
Anayetaka ufanane na bwana fulani.
Nitaendelea siku zijazo.
hata mimi sipendi mwanaume aliye na sifa hizo! labda hilo la kupika lakini hayo mengine na hasa hilo la kufanananisha wanawake zao nadhani wanaume wanalo sana maana huwa wanataka wanawake zao wawe na tabia kama za mama zao!
*Kama hutaki kujua kupika na msichana wa kazi akijua kupika zaidi yako wewe ni wa nini sasa?
*Salamu simaanishi shikamoo( HABARI YAKO MPENZI)
*Kufanana sio copy ya kila kitu wengine wanakua kero tu ya kila kitu.
hahaha!lizzy nimeipenda hii