Na wanaume tuombe hili ......

Konakali

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
1,533
Reaction score
266
Ninaomba facilities za DNA test zifikishwe kwenye vituo vya angaza na mahospitalini, na sharti la kupitia mahakamani liondolewe...! Hata basi kwa vipimo vya siku zijazo tu.....
 
teh teh wajanja mmnejanjaluiwa?
DNA ya nini bwana?asi mnajiamini sana nyinyi...ao mnaowaonaga wanyonge wanaweza kuwatenda ubaya mkubwwa kias icho mpk ukimbilie kwa DNA...
Ahhhh njaaaa inauma..minaenda:car:
 
teh teh wajanja mmnejanjaluiwa?
DNA ya nini bwana?asi mnajiamini sana nyinyi...ao mnaowaonaga wanyonge wanaweza kuwatenda ubaya mkubwwa kias icho mpk ukimbilie kwa DNA..
Ahhhh njaaaa inauma..minaenda:car:


my wife DNA muhimu na lazima
 
teh teh wajanja mmnejanjaluiwa?
DNA ya nini bwana?asi mnajiamini sana nyinyi...ao mnaowaonaga wanyonge wanaweza kuwatenda ubaya mkubwwa kias icho mpk ukimbilie kwa DNA...
Ahhhh njaaaa inauma..minaenda:car:
Kwani si tunadai tu kama katiba mpya? Hii hoja lazima niipeleke kwenye katiba ijayo.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…