na wewe?

Squidward

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2014
Posts
7,828
Reaction score
9,546
Mwalimu aliingia darasani akauliza wanafunzi; "ukitoka shule unafanya nini"???

Mwanafunzi wa kwanza: "ninaenda kwa Erasto Magingi kununua bangi"

Mwanafunzi wa pili: "huwa naenda kwa Erasto Magingi kununua sigara"

Mwanafunzi wa tatu: "huwa naenda kwa Erasto Magingi kununua gongo"

Mwanafunzi wa nne: "huwa naenda kwa Erasto Magingi kununua Madawa ya kulevya"

Mwalimu Mmmh!? Na wewe.....!!!!????

Mwanafunzi wa tano: "huwa nakaa Nyumbani ninajisomea na kufanya home work"

Mwalimu: 'Safi sana kijana mzuri mwenye mfano wa kuigwa....!!!! unaitwa nani?????'

Mwanafunzi: 'Erasto Magingi'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…