Aliwahi kunukuliwa:
1. Hakuna Uchaguzi mwaka huu......
2. Kuna mgombea Urais atakufa ikibidi hata uchaguzi kuahirishwa
3. Atakayeshindana na Kikwe atakufa kifo cha ghafla
4.Kikwe amedondoka kutokana na nguvu za giza toka kwa wabaya wake
5. Ninamwekea Kikwe ulinzi usioonekana kwa macho, na ole wake mtu akijaribu kumdhuru, cha moto atakiona
As of late, the guy amejificha sana, hebu mkurupueni toka huko pangoni alipo aje kujibu matamshi yake haya???????????!!!!!!!