Naacha infidelity

  • Thread starter Thread starter RR
  • Start date Start date

Makubwa......
sasa hapo unaacha au unadumisha....? :confused2::confused2:
 

Mkuu :shut-mouth:.... (hii strategy inafanya kazi)
 
Inategemea ni kichwa gani unazungumzia mkuu..........maana hayo masharti naona kabisa hana nia ya kuhama ISC bali ana pango wa kuumaliza upinzani kwa kuurubuni kuingiza sheria na taratibu za ISC kwa IPC.

Makubwa......
sasa hapo unaacha au unadumisha....? :confused2::confused2:
Sasa msinihuhukumu kabla ya kunipa nafasi....hebu nipeni nafasi kwanza ndo mnihukumu....
 
Inategemea ni kichwa gani unazungumzia mkuu..........maana hayo masharti naona kabisa hana nia ya kuhama ISC bali ana pango wa kuumaliza upinzani kwa kuurubuni kuingiza sheria na taratibu za ISC kwa IPC.

Naangalia dhamira yake maana naona anataka kujilimbikizia mali
 
yani unataka wote hao? ushakua mswati nini?? duh

hiyo list naiona kama umeiweka kwa order maalum au ni random tu?

Naona anataka kutumia mfumo wa kifalme wa kujilimbikizia mali na madaraka
 
Naangalia dhamira yake maana naona anataka kujilimbikizia mali

Finest....kwani si nimesema hadi membaz wengine waridhike?😛eep:...
dhamira yangu iko wazi...
 

Ile vacation yako uliyoenda SWAZILAND kwa MSWATI NA SOUTHAFRICA kwa ZUMA naona ulipata exposure ya kutosha
 
na'smell samthin hapa, we Roya Roy unataka ku'apply ile style ya NAM aka 50/50..huku kama unataka kuja unakaribishwa kwa mikono miwili, na uweke miguu yote ndani, siyo mmoja nje,na mwingine ndani..na hatutaki hayo masharti no 1& 3..no mbili its okay 4 us tho.
Karibu sana, huku utapewa cheo cha mwenyekiti wa nidhamu-upinzani.
Karibu.
 
Sharti letu ni moja tu; Kuwa hunyimwi kujivinjari kama utakavyo, lakini kabla hujaamua lolote, mwandani wako ajue kuwa unakwenda wapi, kufanya nini, na nani...! Hata ikitokea ukafanya bila kumweleza, basi utakapowasiliana naye, basi umweleze yote yaliyokutokea...! Hata kama umemwibia/umemsaliti na ajue mapema iwezekanavyo...! In short, we never lie....! Kama utakuwa tayari, basi karibu sana...! Sisi hatuhitaji mchango wa fedha, bali uwazi na ukweli tu...!
 

Beauty masharti yangu ni take or leave!
Sasa unaonaje ukiwa wa kwanza?
 

Habari za asubuhi, hivi kuna ile guest pale jirani na kwenu tulipoenda siku zile kuangalia kama wana vyumba nikumbushe inaitwaje jina limenitoka kidogo
 
Sharti letu ni moja tu... uahidi na utekeleze kwa vitendo kuilinda katiba ya IPC na si vinginezyo
Utaacah vyote na kuambatana nayo hata mwisho wa dahali na
Uahidi na kutekeleza kwa vitendo kujifunga mkanda na kushiriki kikamilifu katika vita dhidi ya Infii ikiwemo na kupinga ilani zote za ISC
 

Ulishwahi kusikia tokea lini chama au mwanachama wa chama tawala akapinga ilani za chama chake
 

Well...hiyo gumu sana....
Sasa ni lini utanishawishi....
 
Nahisi Eliza kuna vitu alikuwekea au jana ulikuwa unakunywa zero pub na hawa wafuatao SMILES, BEAUTY,MJI, CARMEL, NYAMAYAO halafu wakakuwekea vitu kwenye valuer yako nahisi kama vile unatembea kichwa chini miguu juu
uliotutaja wote hapo juu(except eliza) tulikuwa tunapiga maombi jana, hatukuwa na huyo mtu kbs.
 
uliotutaja wote hapo juu(except eliza) tulikuwa tunapiga maombi jana, hatukuwa na huyo mtu kbs.

Si unakumbuka jana baada ya kutoka Zero Pub ukanipitia pale ISC Pub na Opa yako tukaondoka pamoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…