Naacha kazi kwa hiari Msaada tafadhari

Brownj

Senior Member
Joined
May 8, 2017
Posts
139
Reaction score
80
Heshima kwenu wakuu
Nmeajiliwa katika kampuni moja hapa dsm (secta binafsi) nmefanya nao kazi mwaka mmoja na miezi minne sasa natarajia kwenda kusoma baada ya kujichanga japo kwa hiki kidogo nilimaliza form six 2015 nikafaulu lakin sikuendelea na masomo baada ya semester ya kwanza kutokana na sababu za kiuchumi
Hivyo naombeni kufaham zaidi juu ya sheria ya stahiki zangu
Nimeshawapa notice ya mwezi mmoja lakin nawajua hawa wamewadhurumu wafanyakazi wengi sana so matumaini ya mimi kupata stahiki zangu ni madogo mno japo sina tatzo lolote nao wala Sina records za makosa au barua za maonyo (warning letter )
Kikubwa zaidi je kiinua mgongo hukokotolewa vipi maana nakutana na majibu ya kila aina nikiwauliza watu wa karibu yangu
Msaada wenu tafadhari na kama kama kuna nyongeza juu ya kitu cha kizingatia zaidi tafadhari usisite kuniongoza
Nawasilisha wakuu [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Mwaka mmoja na miezi 4,mafao yatakuwa Kindunchu sana.
Nenda wizara ya kazi watakufafanulia vizuri.Ndo maboss wao
 
Mwaka mmoja tu upewe kiinua mgongo mmh sijui,

Hapo kama ikitokea umepewa utapewa pesa ya michango yako na nyongeza ya mwajiri katika mfuko wa bima

Mifuko ya bima nayo siku hizi haitoi pesa tena
 
Hakuna kiinua mgongo...!

Tena sekta binafsi.

Labda ulipwe leave days ambazo hujaenda.
 
Yaa,, kiinua mgongo ni mshahara wa siku7 kwenye mwaka,,, mfano kama mshahara wako ni milioni moja na nusu ni elfu hamsini kwa siku,, sasa piga mara7 ni350000, huo ndio mfano ndugu, mwenyewe nisha fanya hiyo kitu, na inabidi ulipe mshahara wa mwezi mmoja kama notice,, au ufanye kazi mwezi wote bila mshahara ndugu,, kama umefanya mwaka na Hujaenda likizo ina bidi ulipwe likizo yako moja ambayo ni mshahara wa siku28
 
Okay Mkuu asante sana brother [emoji120] [emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…