Naachwa kisa ni Dini

Muache mtoto wa watu akaolewe na wenye dini inayofanana naye. Kama dini yako ni ya muhimu kuliko yeye sasa kwanini unalalamika. Wewe inaonesha ni mbinafsi, umejaa umimi. Ikiwa wewe huwezi kubadili dini, kwa nini yeye aweze kubadili dini yake?
 
Asanteni naona nimepata ufafanuzi si haba gud night jamani.
 
kaka hapo cha kufanya mukusanye vitabu vya dini mufundishane ili mutafute imani iliyosahihi ili mmoja akubali matokeo maana ninavyofahamu mimi mungu hawezi kuweka dini mbili dini ni moja tu na mungu ni mmoja ila kiukweli kabisa watu hawasomi vitabu wamezowea kusikia juu juu na kama mtu atasoma vizuri na akafahamu anachokisoma basi anaweza kugundua ipi dini ya kweli
 
Itasaidia nini ukujua dhehebu?
kuna baadhi ya madhehebu ya kikristo eg, catholic wananruhusu ndoa za dini tofauti (mseto) ila wananweka sharti la uhuru wa kuabudu na watoto, thats why nkauliza mkuu
 
dini, ni kimbilio la binadamu wakati upeo wake wa kutatua matatizo ukifika kikomo.

Sio la ku-temper nalo kirahisi hivi, bora uanze, na usingizi sasa hivi, kesho ntakueleza kwa kirefu.
 
mmmh mi napita tena nimeinamisha kichwa chini,pole fazul
 
hizi imani katika mapenzi ni mtihani mkubwa kwa kweli.

sana na si suala la kukurupuka eti ubadili dini mara mfunge ndoa kiserikali,ni issue, unaweza kujikuta mara leo unaitwa ali kesho joseph mara urudi ulikotoka,mahusiano yenyewe ndo haya ya soko huria
 
Dini zililetwa na meli!sisi ni wa hapahapa!TAFAKARI..............!
 
Huyo alikupotezea muda mwaka mmoja ungekuwa mbali kimapenzi, why now, hakujua kama wewe ni muislam toka mwanzo.

Achana nae
 
kuna baadhi ya madhehebu ya kikristo eg, catholic wananruhusu ndoa za dini tofauti (mseto) ila wananweka sharti la uhuru wa kuabudu na watoto, thats why nkauliza mkuu

Ndiyo, Rc mnaruhucwa kufunga dini tofauti, mbona Irene na Ndiku walifunga? Me ni Rc na nimeshuhudia ndoa za hvyo, ila kama dhehebu jingine cjui utaratibu wao
 
Hizi chuki za kidini zimeletwa na Waislamu now is time to pay back, haiingii akili Muislamu akose wanawake kwenye dini ya haki atake kuoa KAFIR!!...
 
Achana nae tu kama huwezi kubadili dini.
Naimani kila mtu ana msimamo wake kiimani,
usitake kumpeleka kwingine kiimani kama usivyo
taka kwenda kwingine pia.

Jitahidi kumsahau,utapata mwingine.
aaaaah wapi wewe hapo hakuna upendo tena coz tym yote hyo hakuona umuhimu wa dini hyo nisababu tu hapo ni
NO LOVE tu kama EMINEM
 
ulivo mpenda si na dini yake....... ye ndio maana anakuacha kwasababu hapendi dini yako!:heh:
 
kiukweli hii nchi ina udini na ukabila,ingawa nyerere alitahidi ila hakufanikiwa to maxmum percentages! Leo hii ukipata mchumba atakuhulza wewe dini gani au kabila gani!
 

Usijidanganye! Iwapo una dini kwa kuamini Mungu basi achana nae na jee unaamuwa ni bora nafsi yako kuliko aliekuumba basii uamuzi ni wako binafsi! Mungu yupo na kuvunja amri ya Mungu kupo, hivyo uamuzi ni wako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…