Naachwa kisa ni Dini

Badili, ukishamuoa rudi kwenye imani yako!
I know a couple ambao wao walipendana ila wazazi ikawa issue, so mume alimfuata mke, wakafunga ndoa; then mke akamfuta mume na kufunga tena ndoa, baadaye kila mtu alibaki na imani yake!


Hao hawko katika imani zao bali wapo kwenye imani ya kiserikali, wakiiabudu Serikali! Inakuwaje unasema kuwa una imani huku unavunja kwa makuasudi amri ya aliekuumba, kwa mujibu wa imani yako?
 
Kwa kweli taasisi ya ndoa ilianzishwa kwenye dini. Ki msingi Imani ni muhimu sana kwenye maisha ya binadamu. Kwa sababu hata kwenye after life Imani nyingi hufundisha kwamba hutokuwa na mkeo! Mimi naona mngemchukulia Mungu wenu serious na anayowaelekeza kufanya uyafanye, usijifanye mapenzi yamekulevya. Watu huangamia hivyohivyo.. Nawaambia leo hii nyie mnaojifanya kuendekeza mapenzi ya uongo...Mungu ni mkubwa sana and you can't choose a mere human being over God! acheni hizo habari
 

Kwani kuna haja gani ya kuowana? Kuowana ni amri ya Mungu sasa hutaki amri yake si waendelee tu kuzini. Kwani wanachotaka hasa nini ikiwa wanalala pamoja na kuzaa wataweza kuzaa na hakuna mtu wa kuwaingilia?
Iwapo wanataka watambuliwe na dini na wazee basi wafuate taratibu, nayo ni kuungana kwenye dini moja na kama wanataka watambuliwe na Mungu basi kufuata dini zao ni kujigawa kwa Waungu wawili!
 
Kama wewe ndiye unaempenda yeye, basi badili dini, vinginevyo kubali muachane, maana mnapotezeana muda!
 

Bahati mbaya hakuna compromise na dini, na hiyo ni final.
 
Hizi chuki za kidini zimeletwa na Waislamu now is time to pay back, haiingii akili Muislamu akose wanawake kwenye dini ya haki atake kuoa KAFIR!!...


Nyie ndio wale wanafiki!
 
aaaaah wapi wewe hapo hakuna upendo tena coz tym yote hyo hakuona umuhimu wa dini hyo nisababu tu hapo ni
NO LOVE tu kama EMINEM

Pengine kila mmoja kiiamini kuwa mapenzi yangekuwa na nguvu kuliko Mungu!
 
kiukweli hii nchi ina udini na ukabila,ingawa nyerere alitahidi ila hakufanikiwa to maxmum percentages! Leo hii ukipata mchumba atakuhulza wewe dini gani au kabila gani!

Na jee pale tunapoulizana gari, nyumba na fedha inakuwaje!
 
i've been in dat shoe,i couldnt be a muslim my self,..but if she wants u to change your religion,that means she want u to be someone else..but the truth remains that u r always a muslim,and if you change to be a christian it wont be because u truly luv jesus,would it?
 
we mnafiki kweli man,..time has gone,na wewe bado una akili ya kidini..growup sucker..
 
Kwani kuna haja gani ya kuowana? Kuowana ni amri ya Mungu sasa hutaki amri yake si waendelee tu kuzini. Kwani wanachotaka hasa nini ikiwa wanalala pamoja na kuzaa wataweza kuzaa na hakuna mtu wa kuwaingilia?
Mkuu Marriage ni:- "The legal union of a man and woman as husband and wife", hivyo basi sio kwamba ni amri ya Mungu ndio sababu kuna ndoa za kiserikali.., hii ni status ya watu walio pamoja ambayo community zimejiwekea, na husaidia sana hata baadae inapokuja mambo ya divorce na urithi.

Iwapo wanataka watambuliwe na dini na wazee basi wafuate taratibu, nayo ni kuungana kwenye dini moja na kama wanataka watambuliwe na Mungu basi kufuata dini zao ni kujigawa kwa Waungu wawili!

Ndio maana nikasema badala ya mmoja wao kuacha kile anochokiamini na kubadilisha kingine (kwa kulazimishwa) ni bora waendelee na kila mtu imani yake ila muungano huwe tu kwenye mume na mke (kisheria)
 
Halafu watoto watakua na kulelewa kwa imani ipi

Hio itakuwa ni decision yao wawili (wazazi), ila watoto watakapokua na kujua na kuelewa itakuwa ni choice ya watoto, kuna familia nyingi nimeziona baba mpagani mama mkristo nusu watoto waislamu na nusu wakristu, wengine wapagani (its just a choice)
 
does dini matters in love?
i gues so maana hata mimi niliwahi kumuacha mwanaume kwa sababu ya dini yake
ila sikumuacha kwa kumshtukiza,nilimweleza from the begining kuwa mimi sipo nae for future kwa sababu tunatofautiana dini kwa hiyo hata siku nilipomwambia its over alikua already aware japo hakutaka kukubali fujo za hapa na pale,vitisho vingi mambo kibao but end of the day he had to face the reality
 

Kwahio dini inaruhusu kuwa na mwanaume nje ya ndoa asiye dini yako ila tu msiwe pamoja kisheria ?, Anyway ndio maana nikasema hapa ni muhusika mwenyewe kutokana na imani zake na anavyojisikia ndio anaweza kuamua, ila isiwe mtu kuamua sababu ya shinikizo la mtu, community au ndugu na jamaa. Tena huyo jamaa aliokuja na vitisho nadhani uliepuka vingi sababu hio tabia ya kibabe yake inatisha zaidi na ingevunja mahusiano yenu kabla ya hizo tofauti zenu za imani
 


hapana sio kwamba nilikua nipo kwenye ndoa, he was my boyfriend ila kwa sababu tulitofautiana dini niliamua kumtafuta wa dini yangu nikaachana nae na kuanza mahusiano mapya na huyu wa dini yangu ambaye nipo nae mpaka leo tupo kwenye mbio za harusi
 
hapana sio kwamba nilikua nipo kwenye ndoa, he was my boyfriend ila kwa sababu tulitofautiana dini niliamua kumtafuta wa dini yangu nikaachana nae na kuanza mahusiano mapya na huyu wa dini yangu ambaye nipo nae mpaka leo tupo kwenye mbio za harusi
Indeed sio mbaya kutokana na imani yako na vigezo vyako uliweka umuhimu suala la imani na ni vema..., issue inakuja labda kwa watoto wako, au ndugu zako au rafiki zako, Je utawashauri wasifate kipenda roho sababu ya utofauti wa dini?

After all to me love comes before anything else.., ila pia kumforce au kumshawishi mwenza wako abadilishe imani yake ili muwe sawa ni Umimi na ubinafsi. Point yangu ni kwamba ninaamini na bado nitaamini kwenye mapendo mazito wawili wanaweza wakaishi kwa tofauti zozote (wakiamua) na wanapoamua sio vema community itake kuwabadilisha
 

Lazima uachie kimoja hapo, dini au mpenzi. Je, wewe hujamwambia abadilishe dini?
 

hapana mimi siwezi kumshauri mtu kuhusu swala la mapenzi na dini, nadhani decision is within the person him/her self, kikubwa mtu kabla hajafanya maamuzi aangali moyo wake, na suala la imani si kikwazo kwa kila mtu ila kwangu mimi niliona ni kikwazo kwa sababu mimi na yule guy tulikua tunatofautiana sana katika mambo mengi kutikana na imani yake na mimi kuna vitu ambavyo sikuwahi kuvizoea kutonana kwamba nimelelewa katika mazingira ya imani ya kikristo so it was so hard on my side.

mwenzangu alikua ni muislamu sasa huoni hiyo tofauti ilikua kubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…