Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mimi mwenyewe ndo nimejua Leo😎Kumbe jf kuna teuzi na hamsemi?
SJf member nawaaga sasaivi rasimi nitakuwa bize kidogo na kama mkiona nimepost nipo pale niiteni mbwa uku nakula uyoga
Sitopost ujinga wowote nimepewa husia sana leo kuwa nirudi kwenye ubora wangu hivyo sina budi maana ni kweli nimepoteza marafiki humu ambao walikuwa wananikubali sana kwasababu tu ya comment za kijinga jinga unacomment ukizan unafurahisha watu kumbe nawapoteza marafiki unaweza amini nimekosa teuzi sababu hii
So nabadilika rasimi
Tuwe wapole huenda tukateuliwa mkuu, jana kuna member alisema jf ni nchi sasa naanza kuamini.Mimi mwenyewe ndo nimejua Leo😎
Anajipa umuhimu ambao hana sio?Uende na usirudi
Kabisa, kuondoka kwake ama kubaki hakutusaidii lolote 😂Anajipa umuhimu ambao hana sio?
Basi naunga mkono hoja, asepe tu!Kabisa, kuondoka kwake ama kubaki hakutusaidii lolote [emoji23]
Naamini ukirudi utaboresha pia aina yako ya uandishi. Fanyia kazi maneno yaliyowekwa wino mzito.Jf member nawaaga sasaivi rasimi nitakuwa bize kidogo na kama mkiona nimepost nipo pale niiteni mbwa uku nakula uyoga
Sitopost ujinga wowote nimepewa husia sana leo kuwa nirudi kwenye ubora wangu hivyo sina budi maana ni kweli nimepoteza marafiki humu ambao walikuwa wananikubali sana kwasababu tu ya comment za kijinga jinga unacomment ukizan unafurahisha watu kumbe nawapoteza marafiki unaweza amini nimekosa teuzi sababu hii
So nabadilika rasimi
Hivi we tcher unaandaa somo muda gn.?Naomba unipende kama nilivyo mselaa...usiniachee[emoji445][emoji441]
Niliacha mbona,saivi nauza vipodozHivi we tcher unaandaa somo muda gn.?