Naam,naam,naam,Nimekuja wajameni!

kularaha

Member
Joined
Oct 25, 2012
Posts
5
Reaction score
0
Nimekuwa nikipitia kitambo na sasa ninasema hodi hodi wajameni.
Nimeamua kuwa nanyi na mniunge mkono na pale ninapokwama muwe nami jamani!
 
Umekuja na bei gani? sio facebook hapa. Pouwa karibu sana ila usisahau kuheshimu kijiwe
 
Dogo! Karibu sana humu jamvini!
Ila sharia ya humu jamvini umezipitia?
Mambo ya Twitter na Facebook humu hatuhitaji wala kuyasikia!

Poa mkubwa jukwaa lazima liheshmike


Masharti na vigezo yanazingatiwa humu tafadhali!
 
Fanya yako humu Jf ukifanya ya wenzio wataku****
 
Hawa wageni wanakujaga na kusain na kuondoka Mi cwapendi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…