Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Nia na dhamira ya JPM dhidi ya Tanzania haitaweza kuhojiwa popote, alidhamiria kutuondoa kwenye umaskini na alitumia mbinu zote kufanikisha lengo. Dhamira iliendana na matendo, Ni vigumu kupata watu kama Hawa Duniani. Watu wanaocha starehe za Dunia nakuwapigania wenzao usiku na mchana. Legacy yako itaishi milele baba. Wasipokuwa wao watakukumbuka watoto na wajukuu zao pale watakapoulizana hivi baba ulifanyia Nini nchi yako?
Hivi babu ulifanyia Nini nchi yako? Kwanini wakati JPM anajiandikia jina usingechapa kazi Kama yeye nasisi tukafahamika? Maswali haya utayajibu ukiwa hai au umekufa. Hao watakaokuwa wanahoji umeifanyia Nini Tanzania wqtakuwa wanapita kwenye reli alizojenga jiwe, maflyover aliyojenga na watakuwa wanasema, kweli mwanaume JPM alifanya Jambo kwa Tanzania.
Kwa Sasa na siku zijazo mtakachoweza kuhoji ni kitu kimoja tu na qmbacho hata Mimi siwakatalii. Mtahoji mikakati yake yakufikia dhamira aliyokuwa nayo. Kuhoji mikakati siyo tatizo maana kila binadamu au taasisi inamikakati yake yakufikia lengo, kinachofanya mikakati iwe mizuri ni lengo lililofikiwa. Kwa JPM hata Kama baadhi ya Mambo aliteleza ila mikakati yake kwa wakati wake imetufumbua macho na kutuvusha kutoka tuliyoamini ayawezekani hadi kuanza kujilinganisha na china na nchi za Ulaya.
Nitaendelea kumtetea mtu yeyote ambaye ana dhamira na nia ya dhati yakufikia lengo, asiyekata tamaa na asiyebebwa na mikakati ya wengine.
Hivyo wakati mnaitupia mawe mikakati ya JPM jiulizeni mikakati yenu imefanikiwa? Kama mmekwama aidha katika ngazi ya familia au taasisi mnayofanyia kazi Basi usisimame kumtupia mawe aliyejaribu na kufanikiwa kwingi huku akifeli kudogo. Tengeneza legacy yako uishindanishe na legacy aliyoacha JPM.
Mimi nilipata nafasi yakuwa mwalimu, naamini wanafunzi wangu popote walipo wanajivunia kuwa na mwalimu Kama Mimi.
Hivi babu ulifanyia Nini nchi yako? Kwanini wakati JPM anajiandikia jina usingechapa kazi Kama yeye nasisi tukafahamika? Maswali haya utayajibu ukiwa hai au umekufa. Hao watakaokuwa wanahoji umeifanyia Nini Tanzania wqtakuwa wanapita kwenye reli alizojenga jiwe, maflyover aliyojenga na watakuwa wanasema, kweli mwanaume JPM alifanya Jambo kwa Tanzania.
Kwa Sasa na siku zijazo mtakachoweza kuhoji ni kitu kimoja tu na qmbacho hata Mimi siwakatalii. Mtahoji mikakati yake yakufikia dhamira aliyokuwa nayo. Kuhoji mikakati siyo tatizo maana kila binadamu au taasisi inamikakati yake yakufikia lengo, kinachofanya mikakati iwe mizuri ni lengo lililofikiwa. Kwa JPM hata Kama baadhi ya Mambo aliteleza ila mikakati yake kwa wakati wake imetufumbua macho na kutuvusha kutoka tuliyoamini ayawezekani hadi kuanza kujilinganisha na china na nchi za Ulaya.
Nitaendelea kumtetea mtu yeyote ambaye ana dhamira na nia ya dhati yakufikia lengo, asiyekata tamaa na asiyebebwa na mikakati ya wengine.
Hivyo wakati mnaitupia mawe mikakati ya JPM jiulizeni mikakati yenu imefanikiwa? Kama mmekwama aidha katika ngazi ya familia au taasisi mnayofanyia kazi Basi usisimame kumtupia mawe aliyejaribu na kufanikiwa kwingi huku akifeli kudogo. Tengeneza legacy yako uishindanishe na legacy aliyoacha JPM.
Mimi nilipata nafasi yakuwa mwalimu, naamini wanafunzi wangu popote walipo wanajivunia kuwa na mwalimu Kama Mimi.