Naamini mke wangu upo hapa

Mkuu Fanya interview kabisa ntakuja nikusaidie kuangalia baadhi ya vipengele Na vingine tutatest kabisa,angalau mchujo hata wakibaki watatu,tutajua tutafanyaje ili muhindi lazima apatikane
 
Anataka kuwateka tu wadada wa watu walio desperate!
You may be right in your opinion boss. Sikupingi, lakini kumbuka hata huko makanisani tuliko tunakosema tunaonyeshwa wengi tunadanganywa na hisia/macho na tunaishia kumsingizia Mungu.
 
You may be right in your opinion boss. Sikupingi, lakini kumbuka hata huko makanisani tuliko tunakosema tunaonyeshwa wengi tunadanganywa na hisia/macho na tunaishia kumsingizia Mungu.

Sawa, then kusema unataka tag and eagt wakati unajua ni wasanii? Hauoni inafanya uonekane hauna dhamira ya dhati?
 
Kuna vipindi huko youtube unaweza kushiriki kupata mke
 
"Vibonge mtanisamehe!" [emoji23][emoji23][emoji23]Hii statement inaumiza vibonge sana [emoji1787][emoji1787]muda muafaka waanze mazoezi Obesity haitakiwi watu wanajali matumbo zaidi ya miili yao[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Don’t take this idiot serious, mtu anayetaka mke aliyeokoka hawezi tafuta jamii forums!
Usikute kanisani wamemtenga kwa tabia za uasherati anakaa kiti chake mwenyewe[emoji86][emoji86][emoji23][emoji23]
 
Vibonge tuna mapenz ya kweli hao wembamba watawasumbua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…