Sa kama haendi choo si ina maana "the whole meals was full of nutrients n minerals" no need for defecation
View attachment 157171
View attachment 157172
Bibi huna cha kuniambia kuhus hiyo Mikate mibichi ya Naan Bread au lugha ya kiarabu wanaita (Khubzi)
nilikula sana karibu mwaka mzima wakati nipo nchini Syria miaka 22 iliyopita ikanisababisha kupata na maradhi ya kutopata
choo (Constipation) baada nikapata maradhi ya Bawasiri kwa lugha ya kiingereza ( hemorrhoids) hata bure
unipe sili kamwe ninajuwa madhara yake ukila huo Mkate
mbichi unaweza kukaa siku nzima husikii njaa inashibisha na kuvimbisha tumbo kwa sababu ya
ubichi wake siyo mizuri kiafya. Na ndio maana Waarabu na watu wa Bara la Asia wengi wana
maradhi ya Bawasiri Futoro (hemorrhoids) kwa sababu ya kula huo Mkate wa mbichi (Naan
Bread) haufai kamwe siwezi kukupa ushauri ule huo mkate shauri yako mchanga wa pwani huo
mimi simooooooo. Bibie King'asti kula huo mkate utajibeba.....
[h=2]Tatizo la kukosa choo kwa muda mrefu (Constipation)...[/h]Sa kama haendi choo si ina maana "the whole meals was full of nutrients n minerals" no need for defecation
Wewe Mwanajeshi inaelekea unapenda huo mkate Mbichi Naan Bread imekula kwako utajibeba mwenyewe............Hehehe umenirukaje lol! Tatizo ni balancing the meal. Unatakiwa ule mkate mmoja ama nusu, na protein, na matunda, na mboga za majani. Usisahau maji ya kunywa.
hata mkate wa mchele ukijishindilia tu hadi uvimbiwe itakuwa mule mule bwana. Tatizo ni mtamu wewe unajishindilia kama unajikomoa
Wewe Mwanajeshi inaelekea unapenda huo mkate Mbichi Naan Bread imekula kwako utajibeba mwenyewe............
Naan is very healthy, napenda sana. Unaweza kunyunyiza ufuta juu kabla ya kubake.
MziziMkavu, hupati choo manake unazifakamia lol. Hebu uwe unakula moja per seating
Afadhali ya chapati kuliko huo mkate Mbichi naan Bread siupendi hata kuona mimi. Umisababisha nipate maradhi sikutegemea katika maisha yangu ninauchukia sana huo mkate Mbichi Naan Bread.Mbichi kivipi mkwe? Na chapati je
Wewe Endelea kula huo Mkate Mbichi ''Naan Bread'' Matokeo yake utakuja kuyaona baadae sio sasa Go a head .................Mie nala naan daily nseme ukweli tena baadhi ya mda natafuna hivi hivi na sisumbuliwi na chochote......mkwe MziziMkavu hebu niambie tatizo lipi hasa la naan ingredient ipi sio healthy? Ukisema ngano basi hata chapati,maandazi na wenziwe pia zipo sawa nazo tusile
Mie nala naan daily nseme ukweli tena baadhi ya mda natafuna hivi hivi na sisumbuliwi na chochote......mkwe MziziMkavu hebu niambie tatizo lipi hasa la naan ingredient ipi sio healthy? Ukisema ngano basi hata chapati,maandazi na wenziwe pia zipo sawa nazo tusile
Huwa unaweka nini wakati unakula? Syrup? Jelly?
Sawa mama mkwe nimekuelewa penda upendavyo kwa Raha zako weeeeeeeeeeMziziMkavu wewe huzipendi tu naan bhana weee mkwe utuacheeeee tuleeee baina ya chapati na naan nachagua naan
Ukiniambia mibichi sikuelewi maana inawiva kabisa
Twende ki afya ijapokua sina ujuzi huo najua kukoroga tu lol mafuta yoyote yakichomwa sijui ndo kukaangwa yanakua na madhara kwa mfano chapati hata yawe extra virgin olive oil
Hiyo mie nimeambiwa na mtaalamu wa diet kipindi niko mjamzito coz nlikua sipendi kula chochote zaidi ya seafood nlikua natia hasara sana lol....labda kama muongo nkamsute (natania yakheeeee)
Majukumu tu dada'angu.
Nyakati zingine boksi linabana vibaya mno.
MziziMkavu wewe huzipendi tu naan bhana weee mkwe utuacheeeee tuleeee baina ya chapati na naan nachagua naan
Ukiniambia mibichi sikuelewi maana inawiva kabisa
Twende ki afya ijapokua sina ujuzi huo najua kukoroga tu lol mafuta yoyote yakichomwa sijui ndo kukaangwa yanakua na madhara kwa mfano chapati hata yawe extra virgin olive oil
Hiyo mie nimeambiwa na mtaalamu wa diet kipindi niko mjamzito coz nlikua sipendi kula chochote zaidi ya seafood nlikua natia hasara sana lol....labda kama muongo nkamsute (natania yakheeeee)
View attachment 157171
View attachment 157172
Bibi huna cha kuniambia kuhus hiyo Mikate mibichi ya Naan Bread au lugha ya kiarabu wanaita (Khubzi)
nilikula sana karibu mwaka mzima wakati nipo nchini Syria miaka 22 iliyopita ikanisababisha kupata
maradhi ya kutopata
choo (Constipation) baada nikapata maradhi ya Bawasiri kwa lugha ya kiingereza ( hemorrhoids) hata bure
unipe sili kamwe ninajuwa madhara yake ukila huo Mkate
mbichi unaweza kukaa siku nzima husikii njaa inashibisha na kuvimbisha tumbo kwa sababu ya
ubichi wake siyo Mikate mizuri kiafya. Na ndio maana Waarabu na watu wa Bara la Asia wengi wana
maradhi ya Bawasiri Futoro (hemorrhoids) kwa sababu ya kula huo Mkate mbichi (Naan
Bread) haufai kamwe siwezi kukupa ushauri ule huo mkate shauri yako mchanga wa pwani huo
mimi simooooooo. Bibie King'asti kula huo mkate utajibeba.....
Mahitaji
Unga nusu kilo
Plain yogurt 4 tablespoon
Sugar 1 teaspoon
Chumvi 1/2 teaspoon
Hamira 1 teaspoon
Baking powder 1/2 teaspoon
Warm water/warm milk
Siagi kwa ajili ya kuchomea
Namna ya kutaarisha
Changanya sukari na hamira na maji vijiko 3 vya kulia then acha for 30 minutes
1)Katika bakuli weka unga,chumvi na baking powder changanya vizuri...
2)Weka na mtindi then changanya vizuri
3)Mimina ile mchanganyiko wa hamira na sukari
4)Add maji kiasi hadi ushikane kama chapati...kanda hadi uwe laini
5)Acha kwa nusu saa
6)Tengeza viduara vidogo vidogo alafu sukuma round kama chapati(ukipenda fanya ukubwa kama chapati)
Namna ya kuchoma
Njia ya kwanza
Weka katika trey yako ya kuchomea then zipange naan zako zikiwiva pakaa siagi kidogo tu
Njia ya 2
Pakaa siagi chini ya trey yako weka naan then pakaa tena siagi juu yake..,
Naan tayar kwa kuliwa
hapo ukijazia na ice cream pembeni au urojo yereee uwiii.... so yammy:music: