Naan bread

Napenda sana chapati ila mikati zamani nilikuwa sipendi,kutokana na mazingira nayoishi sasa hivi nimezoea mkate maana ukiagiza msosi wowote lazima uletwe wa bure
 
Napenda sana chapati ila mikati zamani nilikuwa sipendi,kutokana na mazingira nayoishi sasa hivi nimezoea mkate maana ukiagiza msosi wowote lazima uletwe wa bure

Vizuri mkwe wangu usijali binti atakupikia hadi uvimbiwe
 
Vizuri mkwe wangu usijali binti atakupikia hadi uvimbiwe
Siku hizi nishazoea naona ni mtamu ukizoea,naweza kula mkate hata na nyama.

Halafu mkwe huyo mke wangu namsubiri sana kwa hamu akue
 
Hahahahaah si ya leo ndio kwanza 2 month hata akikua utakua ushaota mvi kwa uzee lol
 
farkhina ahsante sana yaani haya mapishi yalivyo motomoto my hubby watu8 anafaidi kweli endelea kutufunza mengine mengi shosti
 
Last edited by a moderator:
farkhina ahsante sana yaani haya mapishi yalivyo motomoto my hubby watu8 anafaidi kweli endelea kutufunza mengine mengi shosti

Halo haloooo...... watu8 ndio hujaniambia kama huyu shosti wangu ndo wifi yakhee we mbaya kweli ningemchokoza huyu bi shosti ungekosa kupikiwa keki tamu bureeee
 
Last edited by a moderator:
Thanks da Faa kwa kutuongezea maujuzi. Ntajarib in sha Allah pengine wtt watapenda
 
huwa nakula kwa wahindi tu hivi vidude kumbe vyaitwa Naan teh teh...asante Farkhina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…