Naangalia marudio hapa Mamelod vs Yanga Mzize mzize kukosa bao lile dah

samakinchanga

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2014
Posts
2,024
Reaction score
1,233
Yaani Mudahiri alilia alilia sana na kupiga chini kwa hasira we mzize unakosaje hapo.

Basi bhana ngoja tufatilie barua yetu CAF
 
Li Mzize amekuwa mzigo wa misumali pale yanga.Jamaa hayuko na utulivu matokeo yake anatupatia maumivu Kila wakati.Ni muda Sasa wamwache aende zake
 
Me nimefikia hatua saivi namshabikia Guede kiroho safi kabisa. Mzize hakuna mtu pale, atafutiwe team ya mkopo aende zake tu. Guede mtu sana yaani, imagine hadi penalty yake alipiga fresh na alipata.
 
Dahhhh ila JF

Yani umekosa kazi ya kufanya unaangalia mpira mala mbili mbili.

Home of great thinkers kweli???????
 
Hata mimi na uzee wangu nisingekosa lile goli aisee. Yaani unaletewa mpira kama ule, golikipa kapotea tayari! Halafu unatoa nje!!

Aisee dogo Mzize anatakiwa ajitafakari. Maana ana kila kitu kama mshambuliaji! Isipokuwa amekosa tu utulivu na maamuzi sahihi awapo mbele ya goli.
 
Mimi tokea msimu unaanza niliwaambia Mzize hafai kuna siku atatugharimu, Wakipekee akanitukana sana kwamba nina chuki binafsi.

Kila mmoja anaona sasa, yule hana kiwango cha kucheza Yanga hii.
Mzize siyo tegemeo la mabao Bali kazi yake ni kusumbua mabeki kwasababu ana Kasi ana sifa nzuri ya ukasi lkn anahitaji ujuzi zaidi wa kufunga kwenye nyuzi ambazo kipa mzuri hawezi kuudaka, impossible angles not direct shoots to good goalkeepers
 
Yaani Mudahiri alilia alilia sana na kupiga chini kwa hasira we mzize unakosaje hapo.

Basi bhana ngoja tufatilie barua yetu CAF
Wakati mnamlaumu Mzize pia mjiulize

Yeye ameingia nadhani kuanzia dakika 60 na amepatata chance ambazo amekosa


Je waliocheza muda mrefu walipata chance ngapi?

Mzize anainekana anakosa chance nyingi kwa sababu anaweza kujiposition

Swala la kufunga ni changamoto kwa washambuliaji wengi


Hata huyo Shalulile mliyempa sifa nyingi bado hajufanya kitu Cha maana.


In short dogo ana changamoto ila changamoto sio yake tu ni almost washambuliaji wote wengi
 
Mzize anapapala ya kupiga anatakiwa ajifunze utulivu kwa pacome
 
Kwani kiangalia mpira haiwezi kuwa kazi? What if ni Mchambuzi, kocha, soka agent n.k?

Tofautisha kwa kiingereza.
(Job, Employment and work)

Mchambuzi, kocha Agent au analyst haangalii mpira wa Marudio.

Sisi tuliofanya hizo mambo tulikuwa tunarekodi mikanda au tunachukua video Dstv super sport Azam nk

Huo muda wa kuangalia Marudio unautoa wapi ????

WEWE UNAANGALIA MARUDIO YA AZAM TV AZAM SPORT 2.
 
Li Mzize amekuwa mzigo wa misumali pale yanga.Jamaa hayuko na utulivu matokeo yake anatupatia maumivu Kila wakati.Ni muda Sasa wamwache aende zake

Watu waliacha shughuli zao kunishuhudia na kunituza Ila Mimi nili udharau mpira wa miguu soka la bongo by then

Japo umri wangu umeenda enda vijana wa makamo yangu wanacheza still NBC PRIMER LEAGUE..

Wapo Kama wa tano Kuna ma homeboy kabisa wa mtaa mmoja kuna ma school mates ambao tuli meet in different levels of education........

Upande wangu Mimi kazi yangu rahisi ambayo ningefanikiwa easy Ni kusakata mpira wa miguu binafsi kwenye mguu wangu wa kushoto mwenyezi Mungu aliweka vitu adimu na adhimu na nilitabiliwa makubwa na yeyote Alie niona mpira ukiwa mguuni mwangu

NB:
Japo Mimi Ni shabiki wa Simba
Mzize anashida ya utulivu wa akili + HOFU pia ana kosa umakini najua Kuna bench la ufundi Kuna kocha sijajua kwanini wameshindwa kumsaidia apige hata tizi la kugongesha mitambaa panya siku nzima mwangalie mtu Kama pacome utulivu na maamuzi akiwa na mpira mzize hicho anakosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…