Nafuatilia marejeo ya mpira Kati ya Simba na Alahal kupitia Azam sport, naagalia nikiwa sina presha kwa utulivu mkubwa, hakika Simba walionyesha kiwango cha juuu sana tena sana. Hii ilikuwa mechi kubwa sana na yenye hadhi ya kimataifa.
Sasa ninamatumaini makubwa kuwa leo lazima ushindi utapatikana.
Simba oyeee.
Sasa ninamatumaini makubwa kuwa leo lazima ushindi utapatikana.
Simba oyeee.