Naangalia mechi ya Maji maji vs Young Africans kinachoonekana sio ishara nzuri kwa wana Yanga

Naangalia mechi ya Maji maji vs Young Africans kinachoonekana sio ishara nzuri kwa wana Yanga

Night Watch

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2017
Posts
2,092
Reaction score
2,126
Hii ni mechi ya mzunguko wa tatu baina ya majimaji vs yanga.Yanga ya msimu huu sijui kama tutoboa,mashabiki wa yanga popote mlipo tujiandae kisaikolojia.Timu inacheza utafikiri inashiriki ndondo cup,labda Ajibu anatufariji na ufundi anao onyesha.


Kwa mtizamo wangu inaweza kuwa zamu yetu kuitwa wa mchangani msimu wa champions league ujao.

Ngoja niombe walau tushinde kamoja ila ni mbinde kupata hata hilo.


Mashabiki wa yanga tukubali ukweli huu mchungu.Yanga hii sio.
 
Hii ni mechi ya mzunguko wa tatu baina ya majimaji vs yanga.Yanga ya msimu huu sijui kama tutoboa,mashabiki wa yanga popote mlipo tujiandae kisaikolojia.Timu inacheza utafikiri inashiriki ndondo cup,labda Ajibu anatufariji na ufundi anao onyesha.


Kwa mtizamo wangu inaweza kuwa zamu yetu kuitwa wa mchangani msimu wa champions league ujao.

Ngoja niombe walau tushinde kamoja ila ni mbinde kupata hata hilo.


Mashabiki wa yanga tukubali ukweli huu mchungu.Yanga hii sio.
Naomba matokeo hadi ss mkuu
 
Watasema uwanja mbovu. Tukiuliza ule wetu wa Kaunda mzuri kushinda huu, majibu povu!
 
Bila kocha wa maana kwanza hii round ni nzito kwetu. Tule matapishi tuondoe aibu tumrudishe Kocha wetu Hans
 
Hii ni mechi ya mzunguko wa tatu baina ya majimaji vs yanga.Yanga ya msimu huu sijui kama tutoboa,mashabiki wa yanga popote mlipo tujiandae kisaikolojia.Timu inacheza utafikiri inashiriki ndondo cup,labda Ajibu anatufariji na ufundi anao onyesha.


Kwa mtizamo wangu inaweza kuwa zamu yetu kuitwa wa mchangani msimu wa champions league ujao.

Ngoja niombe walau tushinde kamoja ila ni mbinde kupata hata hilo.


Mashabiki wa yanga tukubali ukweli huu mchungu.Yanga hii sio.
Usihofu Manji yuko uraiani HV sasa......tehe tehe tehe.
 
Back
Top Bottom