MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Ndugu zetu wazenji bhana 😄😄😄 Taarabu mpaka kwenye mpira wa miguu!. Anyway tuzo zinanikumbusha mahafali yangu ya standard seven.Hongereni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zanzibar wa kawaida sanaUkweli utabaki kuwa zenji licha ya kuwa ndogo kuna vipaji kuliko bara!
Acha madharau dogo😀😃😄😁😆Ndugu zetu wazenji bhana 😄😄😄 Taarabu mpaka kwenye mpira wa miguu!. Anyway tuzo zinanikumbusha mahafali yangu ya standard seven.Hongereni
Wazenji mdebwedoNdugu zetu wazenji bhana 😄😄😄 Taarabu mpaka kwenye mpira wa miguu!. Anyway tuzo zinanikumbusha mahafali yangu ya standard seven.Hongereni
Ukifuatilia taarabu utagundua inaendana zaidi na jinsia ya kike. Lakini kule Zanzibar unakuta mijianaume inajilegeza kuimba na kucheza taarabu halafu wanaweka vidole juu mfano wa mwanahamis na mwanahawa. NDIO MAANA KULE KUNAONGOZA KWA TABIA FULANI HIVI KWA VIJANA.Mi sijaona tatizo .. taarabu ni muziki pendwa kwenye maeneo ya pwani
Taarabu ni muziki uliotamba tangu mapema 1900 mpaka 2000 mwanzoni,baba yako kasikiliza Sana na kurudia kuimba,muziki ulikua taarabu,rhumba, reggae,bolingo, pop,hii miziki ya kurap na r&b imekubalika 2000 mwanzoni,issa matona na wengine ni waimbaji nguli wa taarabu,tungo za taarabu zina kiswahili fasaha na mantiki tofauti na mnachoimba kwenye amapiano na rap zenu,na uchafu unaoitwa singeliNikimwoma mwanaume asikiliza au kuomba utopolo unaaoitwa taarabu huwa na mashaka naye
Hayo ni ma Qaswida sio muzikiTaarabu ni muziki uliotamba tangu mapema 1900 mpaka 2000 mwanzoni,baba yako kasikiliza Sana na kurudia kuimba,muziki ulikua taarabu,rhumba, reggae,bolingo, pop,hii miziki ya kurap na r&b imekubalika 2000 mwanzoni,issa matona na wengine ni waimbaji nguli wa taarabu,tungo za taarabu zina kiswahili fasaha na mantiki tofauti na mnachoimba kwenye amapiano na rap zenu,na uchafu unaoitwa singeli
Kampuni ya universal ilimsajili kwenye label yake Siri bint saada,muimba taarabu,Siti alifariki miaka ya 1960,universal ni label ya muziki,wewe ndiye usemae taarabu si muzikiHayo ni ma Qaswida sio muziki
Weka takwimu mkuu.Ukweli utabaki kuwa zenji licha ya kuwa ndogo kuna vipaji kuliko bara!
Kina mau zinde..??Ukweli utabaki kuwa zenji licha ya kuwa ndogo kuna vipaji kuliko bara!
Mnachekesha sana, vipaji vipi hivyo? Kwenye music, footbal na kila aina ya mchezo bado bara wanaongoza sijui hivyo vipaji vya zenji ni kwenye nini!? Labda uchokoUkweli utabaki kuwa zenji licha ya kuwa ndogo kuna vipaji kuliko bara!