Mi ni kijana wa kiume natafuta sana kazi maisha magum huku mtaani. Nina digrii ya UHASIBU pia ujuzi wa computer eg MS word,excel,power point,database na email and internet. Nafaham pia computerized accounting packages such quick book,equinox and Tally. Nina uzoefu wa mwaka mmoja. Nipo tayari kufanya kazi popote na yeyote ile. Asanteni sana.