, Pole mkuuNipo tayari kufanya kazi popote na yeyote ile
Tembelea ofisi za FINCA-Tanzania, head office ni maeneo ya Manzese huwa wanachukua watu kimyakimya: na wenye fani kama yako ndo wanachukuliwa kwa sana pale: Confidence juu ya kile unachokijua ni muhimu popote uendako hata kama una vyeti vizuri.Mi ni kijana wa kiume natafuta sana kazi maisha magum huku mtaani. Nina digrii ya UHASIBU pia ujuzi wa computer eg MS word,excel,power point,database na email and internet. Nafaham pia computerized accounting packages such quick book,equinox and Tally. Nina uzoefu wa mwaka mmoja. Nipo tayari kufanya kazi popote na yeyote ile. Asanteni sana.
Mi ni kijana wa kiume natafuta sana kazi maisha magum huku mtaani. Nina digrii ya UHASIBU pia ujuzi wa computer eg MS word,excel,power point,database na email and internet. Nafaham pia computerized accounting packages such quick book,equinox and Tally. Nina uzoefu wa mwaka mmoja. Nipo tayari kufanya kazi popote na yeyote ile. Asanteni sana.
magomeni mwembe chaitembelea ofisi za finca-tanzania, head office ni maeneo ya manzese huwa wanachukua watu kimyakimya: Na wenye fani kama yako ndo wanachukuliwa kwa sana pale: Confidence juu ya kile unachokijua ni muhimu popote uendako hata kama una vyeti vizuri.
Fikiria kujiajiri sio kuajiriwa kwani hata ukipata hiyo kazi sana sana utalipwa laki 3 sasa itakupeleka wapi bado hujatoa nauli, kuonga kale kademu kako, chakula, nyumbani na n.k , jamaa 1 amealiza pale CBE kitambo tu anafanya ishu zake binafsi tena started with zero capital lakini leo hii amefanya makubwa na anatumia elimu yake Kufanya biashara Sio kuwa na mawazo mgando ya kutaka kuajiriwa. Imagine Bill gate today angekuwa na mawazo kama yako kipindi hicho leo angekuwaje!!!!!
Una degree,wkt upo chuo hilo bumu la laki 7 na 20 ulilitumbua lote??? Hapo ndio mnakosea kazi za kuajiriwa siku hizi ni ngumu,ilibidi uwe unasave incase ukiwa mtaani uweze kufanya mambo nakushauri fungua hata genge hili usukume siku yl unatafuta kazi.
Mi ni kijana wa kiume natafuta sana kazi maisha magum huku mtaani. Nina digrii ya UHASIBU pia ujuzi wa computer eg MS word,excel,power point,database na email and internet. Nafaham pia computerized accounting packages such quick book,equinox and Tally. Nina uzoefu wa mwaka mmoja. Nipo tayari kufanya kazi popote na yeyote ile. Asanteni sana.