Naantombe Mushi is in the house

Naantombe Mushi is in the house

Naanto Mushi

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
6,236
Reaction score
15,677
Mimi ni mgeni humu na nimekuwa nikipendezwa sana na mada nnazozisoma humu kabla sijajiunga. Hivo na mimi nimeamua kujiunga humu coz ni sehemu ambayo naweza kupata ushauri wenye maana.


Congratulations to me, Now in the house.

#naantombemushi.eeeka#
 
Yebo!! baba nantombezeni yebo! namwesiiza uzindaba yebo!!
 
Bila shaka atakuwa anatokea mkoa wenye mlima mrefu kuliko yote Africa
 
karibu Mkuu jamvini,...ushauri wa kumwaga ila uchanganye na zako kabla ya kuchukua maamuzi....welcome
 
Aisee hilo jina lako la mwanzo yani kulitaja ni tusi kubwa sana kwa mwanaume kwa lugha yangu
 
Back
Top Bottom