THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Vipi Team turudiane tuanze kurudiana?
😂😂
Mnamfunga Azam mnaanza kusema mrudiane na Yanga.
Mliwaza kuomba kurudiana na Yanga kila kona mnapiga pambio leo kimewalamba😂
Nawaza sana nilisema kwa ule mpira wa siku ile wa Azam..wachezaji wachuñguzwe na viongozi pia wa Azam wachunguzwe na TAKUKURU.
#Sisi Kesho tunaanza kukanyaga Ardhi ya Kaanani.😂😂
😂😂
Mnamfunga Azam mnaanza kusema mrudiane na Yanga.
Mliwaza kuomba kurudiana na Yanga kila kona mnapiga pambio leo kimewalamba😂
Nawaza sana nilisema kwa ule mpira wa siku ile wa Azam..wachezaji wachuñguzwe na viongozi pia wa Azam wachunguzwe na TAKUKURU.
#Sisi Kesho tunaanza kukanyaga Ardhi ya Kaanani.😂😂