Naanza kuamini kuwa Richi Mavoko hakukosea kusajiliwa kwenye lebel ya WCB

kifimbocheza_

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2017
Posts
1,119
Reaction score
1,095
Naona graph ya richi mavoko tokea ajiunge wasafi inazid kupanda day after day. Kwa wale tuliokuwa tunalalamika na kumponda kwa nn mavoko kajishusha kwnd kusimamiwa kazi na lebel ya wcb, kwa kweli tunaanza kuumbuka maana huyu mavoko siyo yule mavoko wa kabla ya kusajiliwa wasafi, maana alikuwa kama kaanza kupotea hivi na asingefanya uamuzi ule nahisi sasa hivi angekuwa kwny kundi moja na kina chid benz kutokana na stress.

Ukimwangalia mavoko now unaona kabisa ana amani ya moyo maana kila anachokigusa asa hiv kinageuka dhahabu. Naomba mungu aendelee kukusimamia ili uendelee kutufunga midomo tuliokuwa tunakuponda kipindi unajiunga wasafi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…