Naanza kujawa na mashaka. Yawezekana haya mambo ya Iran/Israel ni michongo tu, tunachezewa akili na wakubwa

Naanza kujawa na mashaka. Yawezekana haya mambo ya Iran/Israel ni michongo tu, tunachezewa akili na wakubwa

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Screenshot_20240416-161509_X.jpg


Kabla chochote hakijafanyika wanaambiana.

Hapa Iran anadai US anaomba Iran ijifanye kama inapigwa ili Israel ionekane iko vizuri au imejibu.

Dunia ilipofika. Wawakilishi wa Iran, Russia, Ukraine, Israel, US na Ulaya wanaweza kukaa kikao sehemu mafichoni huku wanatrigger mambo duniani na media zao wanavyotaka.

Ushauri: Kabla hujalaumu au kuchukua upande tulia. Ikiwezekaba tukio lolote likaushie angalau ipite wiki upate uwanja mpana wa kujadili mengine ni tunapangwa.

Ni hayo tu.
 
View attachment 2965440

Kabla chochote hakijafanyika wanaambiana...
Hiyo janja ya Iran, uongo huo wa Iran, yaani hapo Iran anajua kabisa Myahudi anaenda angamiza kizazi chao, wataangamizwa vibaya sanaaaa na Iran anajua pia USA and allies wanawanyemelea sana, sasa sbb kubwa imepatikana ya kuipiga Iran, Iran italia sana, watulie wasubirie kipigo na hofu kubwa kwa Iran ni baada ya kupiga mabomu na drones jumla 385 na zilitunguliwa zoteee na 7 tu zilifika Israel na kukosa targets, yaani hapo wanajua kabisa wao hawana mfumo mzuri wa ulinzi wa anga, watafumuliwa vibaya, sasa wanaanza kulia lia kabla ya kipigo

Hivi ukiwa na akili huo si uongo wa wazi, yaani uambiwe eti wacha au kubali upigwe usijibu, uongo mkubwa huo, Iran hadi hapo tumbo la kuhara tayari, Ayatollaah hapati usingizi wala choo siku ya 4 leo hofu imemjaa sanaaa
 
Hiyo janja ya Iran, uongo huo wa Iran, yaani hapo Iran anajua kabisa Myahudi anaenda angamiza kizazi chao, wataangamizwa vibaya sanaaaa na Iran anajua pia USA and allies wanawanyemelea sana...
Tusubiri tuone
 
Taifa la Irani linaongozwa kwa utaratibu wa dini ya KISHIA. Muasisi wa USHIA alikuwa MYAHUDI. Alikuwa anaitwa Abdullah Ibn Sabai.

Utapata picha hapo, juu ya kadhia hii.
Mkuu siyo hilo tu!
Mpaka leo kuna jamii ya Wayahudi Iran na wanamwakilishi ndani ya Bunge la Iran.
 
Hakuna dini ya kishia. Neno "shia" lipo ndani ya Qur'an maana yake ni kikundi.

Dini ni Uislam tu na Qur'an ni moja.

Usiwe miinga kiasi hiki. Kwahiyo neno kuwepo kwenye Qur'an ndio kunafanya isiwe dini ? Mbona Uyahudi umetajwa kwenye Qur'an nao sio dini ?

Rejea maana ya dini uje kujenga hoja hapa. Kingine sio kila kitu uchangie, Kuna muda bora kusoma upate kujifunza.

USHIA ni dini kama dini nyingine, Kuna muda matamko yanafasiriwa kilugha n kiistilahi. Kama ilivyo ibada. Kwahiyo bado hujaonyesha ya kuwa USHIA sio dini.
 
Unaweza ukayaelewa zaidi haya mambo ukisoma sana mambo ya consiprancy utauelewa ulimwengu.
Wakuu wa Dunia wote sio maadui kwani mungu wao ni mmoja na wote Wana ajenda moja.
Hata wakuu wa magaidi wote ni wanachama.
Wanatuchezea TU drama wanafanya kitu inaitwa chao order chao.
Kuchafua Dunia kuvuruga Dunia ili kupitisha ajenda moja
 
View attachment 2965440

Kabla chochote hakijafanyika wanaambiana.

Hapa Iran anadai US anaomba Iran ijifanye kama inapigwa ili Israel ionekane iko vizuri au imejibu.

Dunia ilipofika. Wawakilishi wa Iran, Russia, Ukraine, Israel, US na Ulaya wanaweza kukaa kikao sehemu mafichoni huku wanatrigger mambo duniani na media zao wanavyotaka.

Ushauri: Kabla hujalaumu au kuchukua upande tulia. Ikiwezekaba tukio lolote likaushie angalau ipite wiki upate uwanja mpana wa kujadili mengine ni tunapangwa.

Ni hayo tu.
Kuwa Makin na sourse zako mkuu
 
Unaweza ukayaelewa zaidi haya mambo ukisoma sana mambo ya consiprancy utauelewa ulimwengu.
Wakuu wa Dunia wote sio maadui kwani mungu wao ni mmoja na wote Wana ajenda moja.
Hata wakuu wa magaidi wote ni wanachama.
Wanatuchezea TU drama wanafanya kitu inaitwa chao order chao.
Kuchafua Dunia kuvuruga Dunia ili kupitisha ajenda moja
Hii ni sahihi. Ukiifuatilia trend utagundua maelezo yako yanaukweli
 
Back
Top Bottom